Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,669
- 8,268
Karudisha tayariWengine wanasema ndio anarudisha.
Kwisha habar yaoMsola na Mwakalebela itakuwaje sasa?
Kwahiyo kutakuwa na raisi wa Yanga na mwenyekiti wa Yanga?Kuwa mfadhili siyo sawa na kuwa mwenyekiti. Uenyekiti ni uongozi ufadhili ni fedha.
Labda Yanga ikishakuwa kampuni, hapo mwenyekiti anakuwa yule mwenye hisa nyingi
Hao ni malofa hawawezi kuongpza taasisi kubwaMsola na Mwakalebela itakuwaje sasa?
itategemea na katiba yao watakavyoiwekaKwahiyo kutakuwa na raisi wa Yanga na mwenyekiti wa Yanga?
Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app