Bushmamy
JF-Expert Member
- Aug 18, 2019
- 9,140
- 15,963
Kama umeangalia taarifa ya Habar UTV, leo kule Arusha kwenye ule mkutano na pinda wengi walikuwa wamevaa barakoa mule ndaniWakatoliki hao....
manake jana jpili kanisani wamehimizwa kuvaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama umeangalia taarifa ya Habar UTV, leo kule Arusha kwenye ule mkutano na pinda wengi walikuwa wamevaa barakoa mule ndaniWakatoliki hao....
manake jana jpili kanisani wamehimizwa kuvaa
stupid burger!Acha ujinga wa kiwango hiki.
Hivi unajua lock down ni hatari kwa maisha ya watu mara kumi zaidi?
Hawa wanaowaita watu nyumbu wana matatizo sana hawajui ile kauli ya " corona haipo Tanzania " imeingia na kunasa kwenye vichwa vya watanzania. Watu hawakuelewi wanakuona wa ajabu ukichapa barakoa yako na sanitizer mkononi.Juzi nilikua kwenye pantoni na mask yangu nyomi kibao, watu wakawa wananishangaa, na wengine wanaongea unawasikia kabisa wanaambizana, "hawa wanaovaa mask ndo vibaraka was mabeberu hawa".
Kwa hiyo akiweka wazi hali ya afya nchini inakuwaje?Watu wanazidi kwenda kwa mtu fulani kutopenda kuweka wazi hali ya afya nchini, alaaniwe kwa ushenzi huu.
Itaongeza uelewa kwa baadhi ya watu hususani wale walioaminisha kuwa "corona hakuna"Kwa hiyo akiweka wazi hali ya afya nchini inakuwaje?
Usikompliketishe maisha mkuu. Njia yoyote ya kushinda vita ni kujiamini huku ukizingatia kanuni za mapambano.Itaongeza uelewa kwa baadhi ya watu hususani wale walioaminisha kuwa "corona hakuna"
Jana nimeingia Nyumbani kwa Bi mkubwa na barakoa yangu + sanitizer mfuko wa shati (nikapokelewa na maneno Kibao ya kebehi)
Mwanzo ilivyotangazwa na mamlaka kuwa corona Ipo watu tulikuwa hatujazanj kwenye mabasi, mastand, mda wote tunanawa.
Ni ngumu sana kuitoa hii kauli "korona hakuna" vichwani mwa watu si mimi wala ww tutaeleweka isipokua yule aliyetangaza hivyo
Naww usirahisishe vitu mkuu.Usikompliketishe maisha mkuu. Njia yoyote ya kushinda vita ni kujiamini huku ukizingatia kanuni za mapambano.
Wiki hii tu nimeshiriki misiba mitano.
Minne changamoto za kupumua na mmoja ajali.
Hivi wanachoficha ni kitu gani, kwani kuumwa ni dhambi? Hapa watawala wanafeli sana...