Engagement Ring

Retreat

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2010
Posts
229
Reaction score
72
Habari zenu wadau,

Jamani ningependa kujua bei ya bete za uchumba kwa hapa bongo na pia zinapatikana wapi?

Najua kuna watu watanisema kuwa nikatafute kwa Masonara sijui, haina shaka ila nataka mwanga ili nisizunguke sana.

Nahitaji pete yenye kito cha Tanzanite.

Any help jamani.

Nataka kuchimbia soon!
 
Du!
Mimi nilioa zamani mno, kiasi kwa sasa duka hilo lishafungwa!
Uliza kijana anaitwa The Finest, huyu yuko kwenye hatua za mwisho za ndoa!
 
Nenda pale JM Mall Samora kuna duka mule ndani wanauza pete kuanzia laki mbili hadi milioni na kuendelea hela yako tu
 
Du!
Mimi nilioa zamani mno, kiasi kwa sasa duka hilo lishafungwa!
Uliza kijana anaitwa The Finest, huyu yuko kwenye hatua za mwisho za ndoa!

hivi shemeji....ile ndoa yako ya hivi kati hapa ilikuwa ya mkeka ile..?......navikumbuka vile visheti tulivyokula......vilikuwa vitamu sana.....
 
ukiwa na pesa basi chagua ya bei ya juu yaani ndio itaonyesha unamvalue

sio uwe na pesa then unaenda kununua the cheapest
 
:lol::lol::lol:

wengine tumeshazoeana saana hata kama hatufahamiani kwa sura, mkuu kumbe unandoa bwana si tukalibishane bwana duuu!
duu naona kama umenionea kweli aaati, naona kama mshikaji wangu wa karibu saana kaninyima kadi! JF BWANA!
 
Hhhm!!With people. . YOU NEVER KNOW.
Hahahaha!!! Yaani wewe tena
wengine tumeshazoeana saana hata kama hatufahamiani kwa sura, mkuu kumbe unandoa bwana si tukalibishane bwana duuu!
duu naona kama umenionea kweli aaati, naona kama mshikaji wangu wa karibu saana kaninyima kadi! JF BWANA!
Lol...Henge mkuu huyu PJ huyu, aisee michakato hiyo bado banaa mkuu
 
So you want to loose your freedom??????????????????????
 
Du!
Mimi nilioa zamani mno, kiasi kwa sasa duka hilo lishafungwa!
Uliza kijana anaitwa The Finest, huyu yuko kwenye hatua za mwisho za ndoa!

Asante PakaJimmy! Ngoja nimsome The Finest.
 
Nenda pale JM Mall Samora kuna duka mule ndani wanauza pete kuanzia laki mbili hadi milioni na kuendelea hela yako tu

The Finest, hilo Duka laitwaje? Na je wanafungua jmosi? Maana mi ofisi ipo mitaa ya Mwenge hivyo Posta ni mpaka Jumamosi na Jumapili tu. Shukrani sana mkuu kwa info na Wish you the best towards your wedding.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…