Kama ni kuhusisha tabia ya mtu na mahala aliposoma, basi CCP IFUTWE.
Anyway, vipi lile jengo la airtel kajenga mtu wa chuo gani? Na PPF tower kajenga wa chuo kipi? Vipi jengo la Jaymal nalo? Vipi majengo ambayo hayajaanguka yamejengwa na waliosoma wapi??
By the way, najuwa tutawashikia bango sana hao ma-engineer, lakini kuna majengo nje ya Tz yameshawahi kudondoka, kuna manyuklia yashawahi kuvuja, kuna wagonjwa washawahi kufa pamoja uwepo wa madaktari, kuna watu washafungwa pamoja na kuwepo wansheria, wa vyuo mbalimbali, kuna waliofeli au kudisco pamoja na kusoma UDOM au kwingineko nje ya UDSM.
Kwa hiyo failure ya kitu inahusisha factors nyingi sana, ikiwemo rushwa na wizi wa vitendea kazi mbalimbali. UDSM na vyuo vingine hawafundishi wizi wala rushwa au mengine yanayoharibu taaluma ya mtu.
THIS IS TOO LOW TO COME OUT OF GREAT THINKER. Yaani hujafanya RCA. Serious RCA WILL GIVE OUT A SERIOUS SOLUTION NOT ONLY FOR WHAT WE HAVE NOW, BUT ALSO FOR FUTURE