engeneer aliyemaliza udsm

Ndiye alikuwa anasimamia lile jengo lililoanguka juzi posta kweli udsm kinaliingizia taifa hasara sana
Tafadhali zama kidogo ndani zaidi ili ueleweke. Wasimamizi wahandisi kwenye jengo kama hilo ni wengi, je unayemtaja alikuwa anasimamia upande wa mkandarasi, au wa mshauri mtaalamu au mhandisi wa manispaa. Mhandisi kutoka Udsm siyo sababu halisi au pekee ya jengo kuanguka.
 
Huyu muanzisha thread hana hoja, hata wahandisi ambao sio direct kutoka UDSM waliopo kwenye soko la Tanzania indirect wametoka UDSM, hii ni kwa sababu wengi wa walimu waliowafundisha kama sio wote wamesoma na kupitia UDSM.

Vyuo vyenye course za Engineering hapa Tanzania ambavyo wahandisi wake wako sokoni ni UDSM wenyewe, DIT, MIST kwa kiwango kidogo sana na St. Joseph, na ukitaka kujua hili kuwa majority ya walimu wa wahandisi hawa ni UDSM product tafuta prospectus za vyuo nilivyovitaja then angalia hao wahadhiri walisoma wapi.

UDSM/pCET/COET ina mchango mkubwa katika fani za uhandisi hapa Tanzania, huwezi kusimama kirahisi kwa maneno ya kulishwa pasipo kufikiri na kuanza kuihusisha na maovu yanaendelea hapa kwetu kwa sababu ambazo hazijawekwa wazi.

Kwa ujumla bado watalamu wetu kutoka vyuo tajwa hapo juu wanafanya vizuri sana, ila Tanzania ya sasa siasa, jeuri ya pesa, nk vitatupeleka pabaya.
 
Ndiye alikuwa anasimamia lile jengo lililoanguka juzi posta kweli udsm kinaliingizia taifa hasara sana

UDSM inaingiaje kwenye nyaraka za mikataba ya watu? sawa yaweza ingia kwa maaana ya cheti cha taaluma ya

muhusika,lakini je wote walisababisha ama kuhusika kwa namna moja au nyingine wametoka UDSM?

Kwa mtazamo wangu sidhani kuihusisha UDSM kama chanzo cha tatizo ni haki.

Ningefikiri labda kuihusisha UDSM na DIT kama

watatuzi wakuu wa matatizo kama haya ingekuwa ni jambo bora sana.
 
Ndiye alikuwa anasimamia lile jengo lililoanguka juzi posta kweli udsm kinaliingizia taifa hasara sana

Huyu si kama mulugo na kawambwa tu! Ufanisi wakati mwingine huntegemea na utamaduni wa mhusika kujithamini na

kuithamini kazi yake. Application ya utaalamu kwavitendo hudumazwa na sababu nyingi ikiwemo negligence,

rushwa na umasikini kumfanya mtuhumiwa kukubali mawazo ya lazima ya Tajiri/mwenyemaamuzi ilikuiba fedha kupitia

manunuzi hewa.

Ni kama kashifa za Rada na ndege ya rais.
 
nothing u can use to undermine udsm as an institution and development of Tanzania, East Africa, Africa and the world generally. tATIZO LAKO NI CHUO UNACHOSOMA!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Ujinga wako ni mzigo kwako.

Nakuhurumia sana unapokuja na fikra za kijinga na kutaka kutushirikisha fikra zako za kijinga.nakushauri kalale labla utakuwa akili badala ya kukua mwili kama sasa ulivyo
 
Udsm ni tatzo sana hata jk alisoma pale
Mkuu yaan nikijumlisha na thread yako kuhusu wachaga,mh I see how low you can think!Some of us here can be your professor bwana mdogo,please talk with respect! Usiwe una-generalize mambo hivi!
 
Sio akili yako...Uhusiano wa structuture kufail na chuo alichosoma mshauri wapi na wapi...Kuna factor nyingi sana jambo hilo kutokea kuanzia kwenye design (structural) hadi implementation..si ajabu hata TBS wakatakiwa kuwajibika kwa kuwa ni ma authoriser wa material zinazotumika...
 
Nathani ungefuatilia kwanza maana sidhani kama unajua watu wanoahusika mpaka jengo lisimame.
 
 
mara nyingi wanaoiponda ud ni wale vilaza walionyimwa admission
 
kama akili ya mleta mada ingekua ni simu basi tungesema HAINA VOCHA AU YA KICHINA!!
 
Udsm ni tatzo sana hata jk alisoma pale
Akili yako bado changa unafikiri kwa yoyote aliyekanyaga chuo kikuu ndani ya TZ kabla ya 2000 atakuwa amesoma wapi kama si UDSM?? Cha ajabu hata hivyo vyuo mnavyosoma mnafundishwa na product za udsm swala huwa ni ethics kwa m2 binafsi katkia kazi
 
Hv Jakaya naye si kilaza wa Udsm,vp Mulugo? Kawambwa? Ridhiwan je? 2ache ushabiki,elimu ni wewe mwenyewe.
 
Ndiye alikuwa anasimamia lile jengo lililoanguka juzi posta kweli udsm kinaliingizia taifa hasara sana

Uwezo wako wa kujenga hoja unatudhihirishia kuwa ni walewale kule......
 
mh! Kwa ni udsm au mtu alie maliza hapo ndie alie simamia ujenzi? Waacheni udsm jamani twende mbele nyuma hicho chuo kwa bongo kimevitangulia vyuo vyengi, kukijengea chuki haisaidia

kutangulia sio kufika
 
Ndiye alikuwa anasimamia lile jengo lililoanguka juzi posta kweli udsm kinaliingizia taifa hasara sana

Kijana, always avoid exposing your ignorant to others!! Unaona sasa uwezo wako wa kuchanganua mambo ulivyo mdogo, aibu kwako. Hii ni GTs' forum, usikurupuke tu ku-post issue bila analysis ya kutosha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…