Engine kubugia oil.

Engine kubugia oil.

swamila

Senior Member
Joined
Apr 4, 2015
Posts
176
Reaction score
81
Ndugu wapendwa naomba msaada kwa mwenye kuelewa tatizo Nina gari yangu aina ya Premio old model aina ya engine ni 4A. Tatizo la engine yangu nikifanya service ya kumwaga oil nayo iweka inaisha mapema mpaka gari inaonesha alama ya check engine lakini unakuta gari umbali ambao limetembea ata 1000KM unakuta hazijafika.
Naomba msaada tatizo laweza kuwa nn?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Moja ya sababu inaweza kuwa gari lako limetembea saana (lina km nyingi) na maintenance haikuwa nzuri saana, au at some point, lilikaa muda mrefu bila kutumika. So inawezekana kuna oil leak kutokana na kwamba oil seals zimezeeka (maana gari lako lina zaidi ya miaka 20), japo hii ungeweza kuigundua kirahisi sababu asubuhi ungekuta kuna oil imemwagika chini, pia linaweza kuwa linachoma oil. Hii inasababishwa na shida ya valves, au piston rings au cylinders zimechoka na zimetanuka.

Huwa unaona moshi wa blue kwenye exhaust? Mafundi wengi watakushauri kufanya overhaul ya engine, ila mie nitakushauri kununua engine used ufunge, itakuwa gharama na usumbufu kidogo kuliko kufanya overhaul, unless wakute ni tatizo tofauti. Kama ni seals, hizo zinapatiakana, unabadilisha tu na unasonga mbele. Pia jenga mazoea ya kuweka oil filter na oil nzuri na kuepuka kujaza oil kupita kipimo cha mtengenezaji wa engine.
 
Ahsante sana. Gari halitoi moshi kuhusu kutembea ni kweli limetembea sana lkn hakuna sehemu ambayo kuna linkage.
Moja ya sababu inaweza kuwa gari lako limetembea saana (lina km nyingi) na maintenance haikuwa nzuri saana, au at some point, lilikaa muda mrefu bila kutumika. So inawezekana kuna oil leak kutokana na kwamba oil seals zimezeeka (maana gari lako lina zaidi ya miaka 20), japo hii ungeweza kuigundua kirahisi sababu asubuhi ungekuta kuna oil imemwagika chini, pia linaweza kuwa linachoma oil. Hii inasababishwa na shida ya valves, au piston rings au cylinders zimechoka na zimetanuka.

Huwa unaona moshi wa blue kwenye exhaust? Mafundi wengi watakushauri kufanya overhaul ya engine, ila mie nitakushauri kununua engine used ufunge, itakuwa gharama na usumbufu kidogo kuliko kufanya overhaul, unless wakute ni tatizo tofauti. Kama ni seals, hizo zinapatiakana, unabadilisha tu na unasonga mbele. Pia jenga mazoea ya kuweka oil filter na oil nzuri na kuepuka kujaza oil kupita kipimo cha mtengenezaji wa engine.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom