Engine oil ya Subaru forester 2008

Engine oil ya Subaru forester 2008

Sambusa kavu

JF-Expert Member
Joined
May 4, 2015
Posts
806
Reaction score
1,296
Wakuu msaada tafadhali

Jamaa anamiliki Subaru forester ya 2008

Kabadili engine oil juzi tu,ila gari imeanza kutoa mlio kama wa Scania

Hapa ananiuliza shida itakua ni nini, kwavile mie sio fundi nikasema ngoja nililete mezani humu maana kwa akili yangu ndogo nadhani aliweka engine oil ambayo sio ya gari husika

Kwaiyo naomba kuuliza ni engine oil ipi inafaa kwa Subaru forester 2008 ?
 
Umetumia engine oil ya Aina gani? Ungepiga picha ili tuone.
kuna dada mmoja jirani Yangu ana vitz namba DW lakini mpaka Leo hii inanguruma kama Isuzu mbaula kwasabb ya kuweka engine isiyoendana na engine
Mkuu sio mimi ni jamaa yangu, na nilimuuliza ameweka engine oil gani akasema hakumbuki, yeye alienda dukani akanunua Total engine oil,ndo kitu pekee anachokumbuka
 
Mkuu kwanini Coversional na sio Synthetic?

Ntashukuru pia nikijua utofauti wa hivi vitu viwili
Conventional oil( mineral oil) ni oil inayotengenezwa kutokana na malighafi yaliyochakatwa baada ya kumalizika kutoa mafuta ya petrol, diesel na mafuta ya taa kwa hiyo Yale makapi yanayobaki ndio yanatumika kutengeneza oil kiufupi ji oil zinazopatikana baada ya kuwa mafuta yamezalishwa yote na mfano wa oil hizi ni sae40,

20w50 lakini synthetic oil hii ni man made oil kwa sababu inapatikana baada ya kutengenezwa maabara kwa kutumia michanganyiko ya material mbali mbali na mfano wake ni oil zote zenye no 2 mfano 5w30, 5w40 10w40 etc.

+255719263074
 
Conventional oil( mineral oil) ni oil inayotengenezwa kutokana na malighafi yaliyochakatwa baada ya kumalizika kutoa mafuta ya petrol, diesel na mafuta ya taa kwa hiyo Yale makapi yanayobaki ndio yanatumika kutengeneza oil kiufupi ji oil zinazopatikana baada ya kuwa mafuta yamezalishwa yote na mfano wa oil hizi ni sae40, 20w50 lakini synthetic oil hii ni man made oil kwa sababu inapatikana baada ya kutengenezwa maabara kwa kutumia michanganyiko ya material mbali mbali na mfano wake ni oil zote zenye no 2 mfano 5w30, 5w40 10w40 etc
+255719263074
Huyu jamaa amemaliza kilakitu
 
Hapo tumia 5W-30 Conventional oil (sio 5W-30 Synthetic Oil).

Pale kwenye dumu tafuta neno Conventional na sio Synthetic.
Mkuu kwanini Coversional na sio Synthetic?

Ntashukuru pia nikijua utofauti wa hivi vitu viwili
Anatakiwa atumie synthetic oil 5w20,10w30, 5w30 au 10w30
+255719263074 kwa ushauri na upatikanaji wa vilainishi
Conventional oil( mineral oil) ni oil inayotengenezwa kutokana na malighafi yaliyochakatwa baada ya kumalizika kutoa mafuta ya petrol, diesel na mafuta ya taa kwa hiyo Yale makapi yanayobaki ndio yanatumika kutengeneza oil kiufupi ji oil zinazopatikana baada ya kuwa mafuta yamezalishwa yote na mfano wa oil hizi ni sae40, 20w50 lakini synthetic oil hii ni man made oil kwa sababu inapatikana baada ya kutengenezwa maabara kwa kutumia michanganyiko ya material mbali mbali na mfano wake ni oil zote zenye no 2 mfano 5w30, 5w40 10w40 etc
+255719263074
Hapa nimechanganyikiwa kabisa..... Can somebody help me Please🤣😂
 
Mkuu kwanini Coversional na sio Synthetic?

Ntashukuru pia nikijua utofauti wa hivi vitu viwili
Kwa lugha nyepesi ya darasa la pili D ni kwamba Conventional ni oil ambayo content au ingredients zake ni natural yaani zile vitu wamechukua huko ardhini wakati wanachota mafuta.

Kwa upande mwingine, Synthetic ni oil ambayo ina content au ingredients artificial yaani ambazo zimefanyiwa standardizing maabala.

Hizi oil zina benefits tofauti sana. Conventional ni kwa aina za magari ya kizamani specifically matoleo mengi ya nyuma ya mwaka 2009( ingawa kwa kuanzia mwaka 2005 kama si 2006 zipo gari chacheambazo zinapendekezewa oili ambayo ni synthetic). Lakini pia kwa magari mengi ambayo yamevuka Km100,000 kwenye total milage.

Na synthetic ni kwa gari za kuanzia 2010 kuja sasa. Gari ambazo ni za kisasa. Na hii ni kwasababu ya benefits zake gari hizi.

Ni vema ukanambia hiyo Subaru Forester yako ni generation ipi?? Weka hata picha sababu itasaidia zaidi katika namna ya kushauriana.

Kama nimekuacha utanambia nikupe ufafanuzi zaidi.
 
Conventional oil( mineral oil) ni oil inayotengenezwa kutokana na malighafi yaliyochakatwa baada ya kumalizika kutoa mafuta ya petrol, diesel na mafuta ya taa kwa hiyo Yale makapi yanayobaki ndio yanatumika kutengeneza oil kiufupi ji oil zinazopatikana baada ya kuwa mafuta yamezalishwa yote na mfano wa oil hizi ni sae40...
Mkuu sorry kama nitakuwa nakukosea heshima ila hizo namba zingine umetaja hapo sio recommend standard za hii gari. Na ukiweka si kwamba gari haitawaka ila utaisaidia katika process ya kuichosha engine na kuanza kusugulisha vyuma na changamoto zingine katika engine.
 
Back
Top Bottom