Extra miles
JF-Expert Member
- Apr 18, 2018
- 3,652
- 4,972
Sawa sawa Mkuu, zimefika bila shaka. Nikutakie heri ya mwaka mpya piaHa ha ha ha ha ha ha!!!..
Mkuu Extra miles, heshima mbele ndugu yangu.
Hapa nimeona umuhimu wa miwani na kile ki-tufe cha "Preview" kabla huja-post na kila mara unapopitia uzi wako Mkuu.
Tuko pamoja, nishafanya masahihisho stahiki kwenye bandiko husika.
Nikutakie kila la kheri unavyofunga mwaka na unavyoingia mwaka 2019.
Natanguliza shukrani nyingi.
¬Mawio 🙂🙂!!!..
1kz unauzaje?Ineyetaka 1kz tuwasiliane
1kz unauzaje?
Ipo complete?1m tu kiongoz
Ipo complete?
Check PMKisichokiwepo ni injector pump, flywheel na self
Inataka bei gani hiyo 1kz?Ineyetaka 1kz tuwasiliane
Natafuta head 1kz completeIneyetaka 1kz tuwasiliane
Natafuta head 1kz complete
Inataka bei gani hiyo 1kz?
Na mwenye engine ya Passo 4 wheel piston 3 ni PmWakuu, salaam!!!..
Ninahitaji engine ya Landcruiser 1Hz Series iwe katika hali nzuri.
Mwenye nayo ani-cheki inbox au kwa namba hii +255788246790
Bajeti/Pesa niliyonayo mkononi ni Millioni mbili na nusu (2,500,000/=) Pesa za Ki-Tanzania.
Shukrani.