Action and Reaction
JF-Expert Member
- Oct 16, 2021
- 1,438
- 1,496
Ila Yanga halisi ni Ile iliyocheza na Coastal union.... Ile ya Simba ya Doctor!Jamaa anampa task nzito sana kajuna kwa Sasa yuko SA anavunga anasajili kule kumbe usajili halisi unafanyika Asec Kuna striker Yao inatua Jangwani ikiwafata jamaa zake ambao Sasa ni regular kwenye first 11
Kazini kwa Musonda Kuna kazi
Naunga mkono hoja 👍👏Ndani ya muda mfupi Rais wa yanga ameset standard ambazo zinawasumbua sana viongozi wa vilabu vingine hasa Simba na Azam.
Vilabu hivi pinzani na mashabiki wao wanaamini kuwa chanzo Cha mafanikio ya yanga ni uongozi imara na udhamini madhubuti wa Sheik Mansoor (GSM) na hii ndio ukweli ulivyo.
Tangu engineer aanze kujihusisha na Yanga akisajili kupitia kwenye kochi hadi Sasa kwenye meza kubwa yanga imekuwa ikiimarika hatua kwa hatua kutoka kulitawala soccer la Tanzania Sasa inaelekea kulitawala soccer la Afrika.
Hii inafanya vilabu vingine viwaze tutampata wapi kiongozi kama huyu!?wakigeuka upande wanajikuta wako na popati na try nguvu zinawaishia
Ile iliyocheza na coastal ilikuwa imechoka sana ndio maana jamaa kaenda kutafuta benchi la uhakika ili kutoa nafasi ya wachezaji kuwa wanapumzika alijaribu na ihefu hataki kurudia kosa kamtuma Hersi aende kuleta vifaa vya January na mzunguko wa pili [emoji2772]×sasa ni [emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]Ila Yanga halisi ni Ile iliyocheza na Coastal union.... Ile ya Simba ya Doctor!
Na simba ilicheza na namungo ni ipi?Ila Yanga halisi ni Ile iliyocheza na Coastal union.... Ile ya Simba ya Doctor!
Ni yupi huyo?Yule dogo kwel alikua fala..halaf inawezekana ndio alikua nuksi pale
Ahahah mzanzibar yule FeisalNi yupi huyo?
Imagine ili wapate goli Moja kwa Namungo ilibidi wacheze na strikers wanne Bocco Chilunda Baleke Moses Phiri na viungo washambuliaji lundo Ile kitu wajichanganye kwa Azam au Asec watapigwa wachakaeNa simba ilicheza na namungo ni ipi?
Uongozi wa Vilabu ili Uwe endelevu unatakiwa usitegemee uwezo wa MTU Bali mfumo uliotengenezwa.Ni Kweli kabisa na wenye Akili kubwa na Timamu watakuelewa
Engineer Hersi ameleta Mageuzi na Mabadiliko chanya kwenye soka ambayo hayajawahi kuwepo kwa miaka mingi sana
Sio tu kwa hapa Tanzania bali mpaka Afrika Mashariki na kati na amekuwa Tishio kwenye klabu zote kubwa Afrika
Sasa Yanga imekuwa ni Timu ya kupiga timu ndogo ndogo magoli matano na timu kubwa magoli machache
Mungu amtunze huyu Mhandisi Fundi.
INJINIA AKIINGIA TFF ANASHINDA MCHANA KWEUPE PENdani ya muda mfupi Rais wa yanga ameset standard ambazo zinawasumbua sana viongozi wa vilabu vingine hasa Simba na Azam.
Vilabu hivi pinzani na mashabiki wao wanaamini kuwa chanzo Cha mafanikio ya yanga ni uongozi imara na udhamini madhubuti wa Sheik Mansoor (GSM) na hii ndio ukweli ulivyo.
Tangu engineer aanze kujihusisha na Yanga akisajili kupitia kwenye kochi hadi Sasa kwenye meza kubwa yanga imekuwa ikiimarika hatua kwa hatua kutoka kulitawala soccer la Tanzania Sasa inaelekea kulitawala soccer la Afrika.
Hii inafanya vilabu vingine viwaze tutampata wapi kiongozi kama huyu!?wakigeuka upande wanajikuta wako na popati na try nguvu zinawaishia