Engineer Hersi anafanya uongozi wa soccer uwe mgumu

Engineer Hersi anafanya uongozi wa soccer uwe mgumu

Jamaa anampa task nzito sana kajuna kwa Sasa yuko SA anavunga anasajili kule kumbe usajili halisi unafanyika Asec Kuna striker Yao inatua Jangwani ikiwafata jamaa zake ambao Sasa ni regular kwenye first 11
Kazini kwa Musonda Kuna kazi
Ila Yanga halisi ni Ile iliyocheza na Coastal union.... Ile ya Simba ya Doctor!
 
Sisi watu wazima.hainq haja ya kudanganyana.MAAGANO YALE
Kama coastal au sio ila Ile ni game mind hayo mambo yangekuwa yanawezekana watu wasingesajili na kulipa mishahara ya mamilioni
 
Ndani ya muda mfupi Rais wa yanga ameset standard ambazo zinawasumbua sana viongozi wa vilabu vingine hasa Simba na Azam.

Vilabu hivi pinzani na mashabiki wao wanaamini kuwa chanzo Cha mafanikio ya yanga ni uongozi imara na udhamini madhubuti wa Sheik Mansoor (GSM) na hii ndio ukweli ulivyo.

Tangu engineer aanze kujihusisha na Yanga akisajili kupitia kwenye kochi hadi Sasa kwenye meza kubwa yanga imekuwa ikiimarika hatua kwa hatua kutoka kulitawala soccer la Tanzania Sasa inaelekea kulitawala soccer la Afrika.

Hii inafanya vilabu vingine viwaze tutampata wapi kiongozi kama huyu!?wakigeuka upande wanajikuta wako na popati na try nguvu zinawaishia
Naunga mkono hoja 👍👏
 
Ila Yanga halisi ni Ile iliyocheza na Coastal union.... Ile ya Simba ya Doctor!
Ile iliyocheza na coastal ilikuwa imechoka sana ndio maana jamaa kaenda kutafuta benchi la uhakika ili kutoa nafasi ya wachezaji kuwa wanapumzika alijaribu na ihefu hataki kurudia kosa kamtuma Hersi aende kuleta vifaa vya January na mzunguko wa pili [emoji2772]×sasa ni [emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
 
Hata mamelody wana kelele hvyo hvyo ila kila mwaka wanaishia njiani.
 
Hata mamelody wana kelele hvyo hvyo ila kila mwaka wanaishia njiani.
Hawahawa wanaocheza final Leo na mabingwa wa Cafcl 2016 ambao pia ni semi final wa Cafcl msimu ulioisha au Mamelody gani!?
 
Tuacheee ushabiki mpira nafikili engineer Hense anafaa kuwa raisi TFF
 
Ni Kweli kabisa na wenye Akili kubwa na Timamu watakuelewa

Engineer Hersi ameleta Mageuzi na Mabadiliko chanya kwenye soka ambayo hayajawahi kuwepo kwa miaka mingi sana

Sio tu kwa hapa Tanzania bali mpaka Afrika Mashariki na kati na amekuwa Tishio kwenye klabu zote kubwa Afrika

Sasa Yanga imekuwa ni Timu ya kupiga timu ndogo ndogo magoli matano na timu kubwa magoli machache

Mungu amtunze huyu Mhandisi Fundi.
Uongozi wa Vilabu ili Uwe endelevu unatakiwa usitegemee uwezo wa MTU Bali mfumo uliotengenezwa.
Ahsante
 
Ndani ya muda mfupi Rais wa yanga ameset standard ambazo zinawasumbua sana viongozi wa vilabu vingine hasa Simba na Azam.

Vilabu hivi pinzani na mashabiki wao wanaamini kuwa chanzo Cha mafanikio ya yanga ni uongozi imara na udhamini madhubuti wa Sheik Mansoor (GSM) na hii ndio ukweli ulivyo.

Tangu engineer aanze kujihusisha na Yanga akisajili kupitia kwenye kochi hadi Sasa kwenye meza kubwa yanga imekuwa ikiimarika hatua kwa hatua kutoka kulitawala soccer la Tanzania Sasa inaelekea kulitawala soccer la Afrika.

Hii inafanya vilabu vingine viwaze tutampata wapi kiongozi kama huyu!?wakigeuka upande wanajikuta wako na popati na try nguvu zinawaishia
INJINIA AKIINGIA TFF ANASHINDA MCHANA KWEUPE PE

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom