Engineer Hersi atolea ufafanuzi wa GSM kudhamini timu nyingi

Engineer Hersi atolea ufafanuzi wa GSM kudhamini timu nyingi

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
MDHAMINI MOJA KUDHAMINI TIMU ZAIDI YA MBILI.

[emoji871]Ok nipo hapa kufafanua swala hilo tunasikia minong'ono mingi badhi ya wanasoka kuhoji swala hilo kweli wana haki ya kuhoji huu ndo mpira kimaendeleo.

Kwanza tuanze mdhamini wetu wa matangazo ya runinga kurusha matangazo mpira wetu ni AZAM na huyu Azam ana timu ambayo ni AZAM FC na huyu huyu alidhamini kombe la AZAM FEDERATION CUP kombe la shirikisho hakuna hasiye tambua hilo, swali je kwa nini timu yake ya AZAM FC ilikua haichukui kombe hilo zinachukua wengine kama yeye AZAM ni baba wa kombe hilo kwa nini mtoto wake ana shindwa kubeba kombe hilo kama ni mgongano wa kimaslahi kuwa angeshindwa kuonga timu zinazo shiriki ili achiwe AZAM FC achukue hilo kombe, Pia huyu huyu Azam ni mdhamini wa matangazo kurusha mpira na kila timu zinalipwa na huyu Azam je kwa nini timu yake hisichukue ubingwa kuzionga timu ili Azam ishinde?

GSM ni mdhamini wa yanga, hizo timu zingine mnazosema zipo chini ya GSM zinalipwa mishara na GSM? yeye ana kauli kwa hizo timu? je anasajili yeye wachezaji wao? Tutambue GSM ni mdhani wa matangazo kwa maslahi yake kama alivyofanya AZAM kudhamini kombe la shirikisho na kurusha mpira kwa Tv wakati yeye ana timu ya AZAM FC.

Mpira wetu kwa levo tuliyofikia ligi ya 6 kwa ubora pamoja na wadhamini hawa hawa tumpongeze sana AZAM ndo chachu ya maendeleo wa mpira wetu kurusha matangazo na hizi timu zinaitaji pesa ndomana mpaka sasa kila club inauwezo wa kusajili wachezaji wa kigeni tofauti na zamani timu ambazo zilikua ninauwezo ni Simba, Yanga na Azam yote hayo timu zina pesa kutoka na wadhamini hawa hawa.

Ushauri wangu vilabu visajili wachezaji wenye uwezo mkumbwa kulingana na ubora wa ligi yetu alafu tukutane uwanjani maana mpira ni mchezo wa wazi, ukisajili wachezaji ambao hawaendani na club yako uwezo mdogo watakumbua na minong'ono hii haitaisha ndo kitakua kichaka tu cha kujificha kwao.[emoji871]
1724428751505.jpg
 
Na akawapa ushauri madunduka [emoji23]

Ushauri wangu vilabu visajili wachezaji wenye uwezo mkumbwa kulingana na ubora wa ligi yetu alafu tukutane uwanjani maana mpira ni mchezo wa wazi, ukisajili wachezaji ambao hawaendani na club yako uwezo mdogo watakumbua na minong'ono hii haitaisha ndo kitakua kichaka tu cha kujificha kwao.[emoji871]
 
Na akawapa ushauri madunduka [emoji23]

Ushauri wangu vilabu visajili wachezaji wenye uwezo mkumbwa kulingana na ubora wa ligi yetu alafu tukutane uwanjani maana mpira ni mchezo wa wazi, ukisajili wachezaji ambao hawaendani na club yako uwezo mdogo watakumbua na minong'ono hii haitaisha ndo kitakua kichaka tu cha kujificha kwao.[emoji871]
Hata alivyo fafanua hivyo bado walio wengi hawataelewa nimejifunza kwamba jamii zetu za kiafrika zina uwezo tofauti wa kuelewa walio wengi wana akili zilizofungwa, (closed minded), bila kuwasahau wanaojizima data, yaani wanao ahirisha kufikiri kwa nafsi.
 
Kwani Simba nayo inadhaminiwa na GSM?? kwa sababu nayo iligawa pointi 6 kwa Yanga...
Swali fikirishi kwanini mo asidhamini timu hata 8, mfano hai wa hivi karibuni ambao wenye akili tu watauelewa ni huu Azam media ina idhamini Yanga kwenye NBC premier league hata shirikisho lakini cha ajabu Azam fc, huwa inafungwa na Yanga sc kama mtazamo huo ni sahihi basi kwenye ngao ya jamii Yanga sc ilitakiwa iogope kuifunga Azam fc kwa kujipendekeza kwa mdhamini lakini cha ajabu, Yanga sc 4-1 Azam fc
 
Swali fikirishi kwanini mo asidhamini timu hata 8, mfano hai wa hivi karibuni ambao wenye akili tu watauelewa ni huu Azam media ina idhamini Yanga kwenye NBC premier league hata shirikisho lakini cha ajabu Azam fc, huwa inafungwa na Yanga sc kama mtazamo huo ni sahihi basi kwenye ngao ya jamii Yanga sc ilitakuwa iogope kuifunga Azam fc kwa kujipendekeza kwa mdhamini lakini cha ajabu, Yanga sc 4-1 Azam fc

Swali fikirishi kwanini mo asidhamini timu hata 8, mfano hai wa hivi karibuni ambao wenye akili tu watauelewa ni huu Azam media ina idhamini Yanga kwenye NBC premier league hata shirikisho lakini cha ajabu Azam fc, huwa inafungwa na Yanga sc kama mtazamo huo ni sahihi basi kwenye ngao ya jamii Yanga sc ilitakuwa iogope kuifunga Azam fc kwa kujipendekeza kwa mdhamini lakini cha ajabu, Yanga sc 4-1 Azam fc
Yule mnyaturu anavyopenda mteremko hawezi toa hela kirahisi
Swali fikirishi kwanini mo asidhamini timu hata 8, mfano hai wa hivi karibuni ambao wenye akili tu watauelewa ni huu Azam media ina idhamini Yanga kwenye NBC premier league hata shirikisho lakini cha ajabu Azam fc, huwa inafungwa na Yanga sc kama mtazamo huo ni sahihi basi kwenye ngao ya jamii Yanga sc ilitakuwa iogope kuifunga Azam fc kwa kujipendekeza kwa mdhamini lakini cha ajabu, Yanga sc 4-1 Azam fc
Yule mnyaturu anapenda janjajanja sana hawezi toa hela kudhamini vilabu venye akili timamu
 
MDHAMINI MOJA KUDHAMINI TIMU ZAIDI YA MBILI.

[emoji871]Ok nipo hapa kufafanua swala hilo tunasikia minong'ono mingi badhi ya wanasoka kuhoji swala hilo kweli wana haki ya kuhoji huu ndo mpira kimaendeleo.

Kwanza tuanze mdhamini wetu wa matangazo ya runinga kurusha matangazo mpira wetu ni AZAM na huyu Azam ana timu ambayo ni AZAM FC na huyu huyu alidhamini kombe la AZAM FEDERATION CUP kombe la shirikisho hakuna hasiye tambua hilo, swali je kwa nini timu yake ya AZAM FC ilikua haichukui kombe hilo zinachukua wengine kama yeye AZAM ni baba wa kombe hilo kwa nini mtoto wake ana shindwa kubeba kombe hilo kama ni mgongano wa kimaslahi kuwa angeshindwa kuonga timu zinazo shiriki ili achiwe AZAM FC achukue hilo kombe, Pia huyu huyu Azam ni mdhamini wa matangazo kurusha mpira na kila timu zinalipwa na huyu Azam je kwa nini timu yake hisichukue ubingwa kuzionga timu ili Azam ishinde?

GSM ni mdhamini wa yanga, hizo timu zingine mnazosema zipo chini ya GSM zinalipwa mishara na GSM? yeye ana kauli kwa hizo timu? je anasajili yeye wachezaji wao? Tutambue GSM ni mdhani wa matangazo kwa maslahi yake kama alivyofanya AZAM kudhamini kombe la shirikisho na kurusha mpira kwa Tv wakati yeye ana timu ya AZAM FC.

Mpira wetu kwa levo tuliyofikia ligi ya 6 kwa ubora pamoja na wadhamini hawa hawa tumpongeze sana AZAM ndo chachu ya maendeleo wa mpira wetu kurusha matangazo na hizi timu zinaitaji pesa ndomana mpaka sasa kila club inauwezo wa kusajili wachezaji wa kigeni tofauti na zamani timu ambazo zilikua ninauwezo ni Simba, Yanga na Azam yote hayo timu zina pesa kutoka na wadhamini hawa hawa.

Ushauri wangu vilabu visajili wachezaji wenye uwezo mkumbwa kulingana na ubora wa ligi yetu alafu tukutane uwanjani maana mpira ni mchezo wa wazi, ukisajili wachezaji ambao hawaendani na club yako uwezo mdogo watakumbua na minong'ono hii haitaisha ndo kitakua kichaka tu cha kujificha kwao.[emoji871]View attachment 3077357
Hata hapa JF. tulishawahi kulijibu hilo kwa kutoa maelezo kama hayo.
Hao walalamikaji wanajiandalia tu sababu za vilio huko mbele ya safari.
 
Kwani Simba nayo inadhaminiwa na GSM?? kwa sababu nayo iligawa pointi 6 kwa Yanga...
Wanadai chama na manula walipokea mlungula ili wacheze chini ya kiwango, wafungwe.
 
Back
Top Bottom