Engineer Hersi kushuhudia mtanange wa fainal Mamelodi vs Wydad

Engineer Hersi kushuhudia mtanange wa fainal Mamelodi vs Wydad

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
Watu wenye akili na mipango ya soka ndio wanatakiwa kuwa hivyo, Yanga inaweza kucheza fainal ligi ya mabingwa kwa sababu viongozi wake wameshaimaliza ligi ya bongo, wamejua ligi ya bongo ni nyepesi sana.

Yanga ina mkuu wa idara ambaye kazi yake ni kuipeleleza na kuharibu mipango ya Simba yote, ina wakuu wa idara ambao wana kazi ya kucheza na TFF kuimarisha mahusiano, hiyo ndio mipango ya kijana engineer Hersi.

Sasa ameshamaliza ligi ya bongo amewaachia azam na timu nyingine wagombee nafasi ya 2.

Kesho anaiangalia mamelodi na wydad ambao anajua ndio levo yake, kila la heri engineer, umewaonyesha wajinga wajinga mpira unatakiwa uweje.
 
Huyo hersi anaweza akakugongea mkeo na bado ukampa na shikamoo. Maana sio kwa kumsifia huko kwa kila anachokifanya.
 
Yanga akicheza fainali Champion League! Amka usingizini
 
Kiboko ya huyo jamaa ni babra sema mazee ya simba yanawazia matumbo yao tu bwana haris atasumbua sana
 
Amekuja na rafiki yake halafu wameagiza Savana duu sijuwi mm ananionaje , ngoja nimuonyeshe Leo kuwa mm siyo kijana wa kinondoni,au nikagonge wote
 
Back
Top Bottom