engineering gani ninzuri apa Tanzania?

engineering gani ninzuri apa Tanzania?

.
.

Mchezo mgumu Na hatari watu wengi huwa tunachagua baadae zetu masomoni Kwa kuangalia kioo Cha soko la ajira Leo.. Hii ni Hatari sana sana.. Hii humfanya mhandisi ajiandae kuajiriwa, hapo atafurukuta amalize kozi Kwa namna iwayo yote. Anajitengeneza kuwa job seeker . Hawa ma job seeker wengi ni Wahandisi wasiojiamini. Hana ubavu wa kufungua kampuni ya alichosomea. Ukimsikia mhandisi Wa namna hii ana kampuni Basi ni ya usafi au supplier, au nyingine ambayo iko masafa marefu mbali Na alichosomea. Narudia tena Uhandisi ni Kipaji, kama unacho nenda kikikomaze uwe mhandisi mwenye confidence Na Kazi yako.. Kusomea uhandisi tu ni zaidi ya Ajira. Kazi huzitafuti zinakutafuta.. I am happy to be an Engineer..

DUNIA yote watu wakiamka wanamtegemea Mhandisi awaanzishie siku Na kuimaliza.

"Uko sawa kabisa"
 
Back
Top Bottom