Engineering ghali tokea duniani

Engineering ghali tokea duniani

CERN ni project ya kufanya majaribio ya " bing bang theory" . Wanasayansi wanaamini kuwa Dunia ilianza kutokana na hiyo dhana.
Ndo wametengeneza maabara kubwa ambayo inaunganisha baadhi ya nchi za ulaya. Wanataka wazungushe protons kwa kasi kubwa halafu zigongane. Waone kitatokea nini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
CERN ni project ya kufanya majaribio ya " bing bang theory" . Wanasayansi wanaamini kuwa Dunia ilianza kutokana na hiyo dhana.
Ndo wametengeneza maabara kubwa ambayo inaunganisha baadhi ya nchi za ulaya. Wanataka wazungushe protons kwa kasi kubwa halafu zigongane. Waone kitatokea nini.

Sent using Jamii Forums mobile app
nadhan matokeo kma yapo ni baada ya mda mrefu sana
 
CERN ni project ya kufanya majaribio ya " bing bang theory" . Wanasayansi wanaamini kuwa Dunia ilianza kutokana na hiyo dhana.
Ndo wametengeneza maabara kubwa ambayo inaunganisha baadhi ya nchi za ulaya. Wanataka wazungushe protons kwa kasi kubwa halafu zigongane. Waone kitatokea nini.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii kitu kwenye kitabu cha nimekisahau jina ila mwandishi wake ameandika leornard da vinc code
 
CERN ni project ya kufanya majaribio ya " bing bang theory" . Wanasayansi wanaamini kuwa Dunia ilianza kutokana na hiyo dhana.
Ndo wametengeneza maabara kubwa ambayo inaunganisha baadhi ya nchi za ulaya. Wanataka wazungushe protons kwa kasi kubwa halafu zigongane. Waone kitatokea nini.

Sent using Jamii Forums mobile app
Dah hawa wanatafuta balaa sasa
 
Usije sema labda inaweza kua pyramid mimi sizani
View attachment 1419959
Mimi hata siamini kua hii inaweza kua ghali sana!

Wengi mnaweza sema pyramid ilikua ghali sini kweli?

Labda kwa kuangalia nikwa kiasi gani zimesimama bila kupotea bila kutengenezwa mara kwa mara (services), au, kwa kuangalia kimtizamo kua zimejengwa na wajenzi almost watu 4000 ikiwa ni ndani ya miaka 20 mmmh!!!
Ambayo garama zakulitengeneza pyramid moja kwa sasa inaweza ku gharimu kama $5 billion za kimarekani labda!

Hapa akaulizwa mkufunzi wa sayansi zinazo ishi kwenye documentary bibi Natalie Wolchover kua
"je itagarimu kiasi gani cha fedha kwa sasa ili.kutengeneza pyramid ingine kwa sasa?"
Nakusema kua maybe sio zaidi ya $5 billion kwa ku assume kua labda
1, wajenzi walilipwa mshahara mdogo maana walikua ni watumwa wengi wao na wafungwa,
Hapa nikagundua kitu nilivyo iangalia ile documentary kua aah alisahau ongelea wale walio husika chora rabani nzima na pia labda mawe yakutengenezea yalikusanywa sehemu tofauti tofauti kuyafikisha site.

Basi kwa gharama izo na mimi nika assume kua mpaka pyramid linasimama basi kwa wakati ule lili komba kama $50 billion za kimarekani..🤔

Ila bado najiona sija guess vizuri maana ni hatari mno yale madude

Ivi kama ni wewe unaisi inaweza kua ime cost kama kiasi gani ??

Ila mimi nina uhakika engineering kubwa duniani ilikua ni ujenzi wa

"INTERNATIONAL SPACE STATION"
View attachment 1419980
Hii kitu ime cost $150 billions za kimarekani ikiwa ni kwa miaka 25 mpaka kutimia kwake!!???

Pia imepayiza rocket nyinge angani kwa kusafirisha vitu angani iki kwende iunga iwe kitu kimoja!

I station ni project ambayo ni endelevu maana inahitaji repair tofauti tofauti, kama mafuta like oil mbali na solar energy from sun ila inaitaji mafuta mengi kama yakulainishia ili chuma zisisuguane, pia inaitaji oxygen yakutosha kwa wale walio ndani waeze survive, mmmh!!

Kikubwa zaidi ili mpaka rocket ieze ruka kutoka duniani mpaka space station ilipo inagarimu constant kama $500 million zakimarekani🤔

Wengi wetu tumeshuhudia cost kubwa za chupa za maji ukiwa kwenye cinemas kubwa duniani asa embu waza chupa moja ya maji kwenye space station inaweza uzwa kiasi gani labda?

Inaweza kua labda $200k?
Au hata $2000k?

Embu toene alicho jibu mtaalamu wa anga bwana allson peter alipo ulizwa

"Je inacost kiasi gani cha garama kupata chupa moja ya maji kwenye space station??"

Nakuji kua

Kabla kurusha space station bila kukosea waliona iyo changamoto na kabla ijawa kosa walivumbua namna ambayo ikiwawezesha wao kukusanya moisture ya kila kitu ndani ya station inayo kaa kkwenye madirisha na sehemu ingine yoyote ndani ya station kwa kuifyonza nakui fanya kua maji safi salama kwa kunywa binadamu ndani ya station!!!

Pia


Mkojo, mkojo wa kiumbe chochote ndani ya station ikimaanisha mpaka panya wa maabara mkojo wao huchukuliwa na kuchujwa kisawa sawa na kufwanya maji safi na salama kwa kunywa!!!! Khee!
na tena mkojo huo uchunywa kwa asilimia 100% bila kukosea chochote

Na ivyo ndo namna ambayo wanazuia gharama ya kupata maji yakunywa ndani ya station!!.

Hi ni mimi lakini na wewe pia unaweza kua na yako labda usisite ishusha hapo kwenye comment

Lengo ni kujifunza,

Asante.

Inafwatwa uzi mwingine wa mambo ambayo ni yakustaajabisha kwenye universe yetu comment niku add
Hata hivyo, kumbuka kitu kimoja kikubwa sana na pia cha kushangaza sana kuhusiana na mapiramidi,...., ni "earthquake proof". Hapo hapo yakiwa yamejengwa angalau miaka 2000 BC
 
Hata hivyo, kumbuka kitu kimoja kikubwa sana na pia cha kushangaza sana kuhusiana na mapiramidi,...., ni "earthquake proof". Hapo hapo yakiwa yamejengwa angalau miaka 2000 BC
Ila bado aigarimj kiwango cha space ship jua kwamba
 
Ila bado aigarimj kiwango cha space ship jua kwamba
Ni sawa, ila ukiangalia teknoloji iliyotumiika, mapiranidi yako juu muno, kwamba pamoja na teknoloji tuliyonayo leo, bado hatuwezi kutengeneza piramidi achilia mbali kuweza kujua tu namna zilivyoweza kutengenezwa, wakati zilijengwa maelfu ya miaka huko nyuma kabla ya kuzaliwa Kristo
 
CERN ni project ya kufanya majaribio ya " bing bang theory" . Wanasayansi wanaamini kuwa Dunia ilianza kutokana na hiyo dhana.
Ndo wametengeneza maabara kubwa ambayo inaunganisha baadhi ya nchi za ulaya. Wanataka wazungushe protons kwa kasi kubwa halafu zigongane. Waone kitatokea nini.

Sent using Jamii Forums mobile app
Duh iyo ni balaa

Sent from my TECNO CX Air using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom