Engineers from dit,must are mostly professionally than udsm?

Hao waliokuwa wanakusimamia wakati uko field uliwauliza wamesomea wapi wakakuambia ni DIT???
Hv ni watu wangapi unaowafahamu ww kama Engineers vichwa nchi hii waliosoma DIT???
Shame on you,,show some respect to your superiors young boy!!!!

Sijakuelewa
 
Bsc Eng sio sasa na Beng

Unaandika vitu gani? Au hujamuelewa? Jiulize tu swali Dogo. Walimu bora katika Vyuo vyote bongo wapo chuo gani. Chuo gani kina higher number ya PhD holders wanafundisha full time? Fundi mshundo ni mshundo tu. mhandisi ni mhandisi.
 

Unajua tofaut ya technician certificate,Beng na Bsc eng???
 
Unaandika vitu gani? Au hujamuelewa? Jiulize tu swali Dogo. Walimu bora katika Vyuo vyote bongo wapo chuo gani. Chuo gani kina higher number ya PhD holders wanafundisha full time? Fundi mshundo ni mshundo tu. mhandisi ni mhandisi.

Fundi mshundo ndo nin??
 
Inawezekana wengi mnaongea kishabiki but hamjui engineering ipoje
What engineers share n differ
So Sio ishu sana
Ila uwezo wa kupambanua field na kudesign ofisini ndio humfanya engineer kuwa katika ubora wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…