Sorrow to Joy
JF-Expert Member
- Jan 22, 2012
- 292
- 59
Tehe tehe Hamis77, eti wa UD ndiyo wanawasimamia wa DIT&MUST! Ni upogo wa hali ya juu. Nakumbuka enzi zile nikisoma pale DIT nilifaulu vizur O-Level kule Tech school, ila form6 haikuwa first choice nilipenda kusomea ujuzi siyo kukariri tena physics(sisi kule tech sec tukiita Engineering Science) ambayo ni full calculations. Kwa mfano kwa mitaala ya wakati ule, topic kama angular motion, projectile motion, magnetomotive forces(mmf-siyo ile emf ya physics) na mashines tulizisoma secondary, wakati wenzetu wa shule zisizo za ufundi walizikuta kidato cha tano. Kwa hiyo watu wengi tuliotoka tech sec schools mimi nikiwemo na wenzangu wengi tu kutoka Moshi Tech, Tanga Tech, Ifunda,Iyunga na Musoma Tech, tena wengi ni division I za points7 hadi div II. za points 18 tulikutana pale DIT tena ni PCM wote. So baadae wengi walibaki DIT kuchukua ADE na sasa ni BEng ambayo nami nilichukua hiyo na pia kusajiliwa kama Prof Eng na ERB. Bahati ni kwamba wale tuliotoka tech sec school tumekutana kwny game hata za structural design na kwa kweli tunategemeana sana tofauti na story hizi ambazo ni za wanafunz. Watu kama Prof Luhanga, Mwandyosya na hata Mshoro ni product za mwanzo za Dar Tech, bila kusahau Dr Nkwera wa NACTE, ni zao la Mtwara Tech then DIT
Weee ni kiazi sana. Unafahamu tofauti ya GIE na GE?? Unadhani kondoro kukubali hii ni kiazi?? KILAZA WE