England atachukua Kombe la Dunia 2022?

England atachukua Kombe la Dunia 2022?

Nihaomedia7

Member
Joined
Jul 19, 2021
Posts
32
Reaction score
77
FB_IMG_1668448024486.jpg

Wadau soon tu Kombe la Dunia linaenda kuanza,, je Nani atachukua? Kuna Wadau wanasema mshindi wa michuano ya EURO huwa wanafanyaga vizuri!! Well inawezekana, Euro ya mwaka juziii ule ufaransa alifika fainal, Portugal anachukua kibahati tu, kwenye Kombe la Dunia 2018 , France anachukua Ndoo, Euro ya 2020 Italy aliingia Fainal na England , Italy akachukua kibahati tu, Je ni zamu ya England kuchukua ubingwa? Vipi kuhusu mshindi wa kule America ?
U tabiri wangu
1. England
2. Brazili
3. Argentina
4. Portugal
Hapo Pana bingwa wa Qatari FIFA world cup 2022
MKEKA WAKO UNAMPA NANI MDAU?
CHEKI ZAIDI HAPA>> NANI ATASHINDA KOMBE LA DUNIA 2022
 
View attachment 2416830
Wadau soon tu Kombe la Dunia linaenda kuanza,, je Nani atachukua? Kuna Wadau wanasema mshindi wa michuano ya EURO huwa wanafanyaga vizuri!! Well inawezekana, Euro ya mwaka juziii ule ufaransa alifika fainal, Portugal anachukua kibahati tu, kwenye Kombe la Dunia 2018 , France anachukua Ndoo, Euro ya 2020 Italy aliingia Fainal na England , Italy akachukua kibahati tu, Je ni zamu ya England kuchukua ubingwa? Vipi kuhusu mshindi wa kule America ?
U tabiri wangu
1. England
2. Brazili
3. Argentina
4. Portugal
Hapo Pana bingwa wa Qatari FIFA world cup 2022
MKEKA WAKO UNAMPA NANI MDAU?
CHEKI ZAIDI HAPA>> NANI ATASHINDA KOMBE LA DUNIA 2022
Kila mdau aseme timu yake😄
 
Argentina bingwa wa world cup 2022 na Senegal atafika nusu fainali.
 
Back
Top Bottom