England atachukua Kombe la Dunia 2022?

England atachukua Kombe la Dunia 2022?

England hushinda dhidi ya timu dhaifu

Wakikutana na timu yenye vipaji hulala na viatu
 
England awana uwezo wa kubeba ndoo.
ushindi wao wa kumbe la Dunia huwa ni promo tu,kwenye kuipromote timu yao ya taifa kombe la Dunia huwa awanaga mpinzani kwakweli.
 
Hakuna timu inayoogopeka kama Argentina kwa sasa...Lakini kuhusu kuchukua komve sijui
 
View attachment 2416830
Wadau soon tu Kombe la Dunia linaenda kuanza,, je Nani atachukua? Kuna Wadau wanasema mshindi wa michuano ya EURO huwa wanafanyaga vizuri!! Well inawezekana, Euro ya mwaka juziii ule ufaransa alifika fainal, Portugal anachukua kibahati tu, kwenye Kombe la Dunia 2018 , France anachukua Ndoo, Euro ya 2020 Italy aliingia Fainal na England , Italy akachukua kibahati tu, Je ni zamu ya England kuchukua ubingwa? Vipi kuhusu mshindi wa kule America ?
U tabiri wangu
1. England
2. Brazili
3. Argentina
4. Portugal
Hapo Pana bingwa wa Qatari FIFA world cup 2022
MKEKA WAKO UNAMPA NANI MDAU?
CHEKI ZAIDI HAPA>> NANI ATASHINDA KOMBE LA DUNIA 2022
Portugal
 
Uingereza wachezaji wao hawana mentality ya kuwin kombe la dunia unless kama watumie mikakati tofauti wakati huu,ni kweli wanawachezaji wazuri sana na wenye vipaji vikubwa ila pia hata wapinzani wao pia wako hivyo nikichukulia mfano wa timu kama Brazil,Portugal na hata Argentina,tatizo la England ni media zao zinapenda sana kukuza vitu japo kiuhalisia hawana kitu Harry Maguire ni moja ya wachezaji wanaounda timu hiyo ila kwa kiwango chake sizani kama atamudu(huo ni moja ya mifano)
 
Uingereza wachezaji wao hawana mentality ya kuwin kombe la dunia unless kama watumie mikakati tofauti wakati huu,ni kweli wanawachezaji wazuri sana na wenye vipaji vikubwa ila pia hata wapinzani wao pia wako hivyo nikichukulia mfano wa timu kama Brazil,Portugal na hata Argentina,tatizo la England ni media zao zinapenda sana kukuza vitu japo kiuhalisia hawana kitu Harry Maguire ni moja ya wachezaji wanaounda timu hiyo ila kwa kiwango chake sizani kama atamudu(huo ni moja ya mifano)
Kweli mkuu
 
Back
Top Bottom