Nihaomedia7
Member
- Jul 19, 2021
- 32
- 77
- Thread starter
- #21
Haha hapo kwa Senegal hapoArgentina bingwa wa world cup 2022 na Senegal atafika nusu fainali.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haha hapo kwa Senegal hapoArgentina bingwa wa world cup 2022 na Senegal atafika nusu fainali.
Naungana na wewe.Wavulana wa England wakikutana na Denmark hawatoboi!
This time, ndoo inaenda south America. Ni either Brazil au Argentina!
Brazil au ArgentinaBrazil au Germany
England hata nusu hafikiENGLAND THE THREE LIONS,ITS COMING HOME
Hivi wanavojiita hivo,England misitu yao ishakuwa na simba, au ndio waliwaona Africa tuENGLAND THE THREE LIONS,ITS COMING HOME
Wewe na camerun yako mnafika wapiEngland hata nusu hafiki
PortugalView attachment 2416830
Wadau soon tu Kombe la Dunia linaenda kuanza,, je Nani atachukua? Kuna Wadau wanasema mshindi wa michuano ya EURO huwa wanafanyaga vizuri!! Well inawezekana, Euro ya mwaka juziii ule ufaransa alifika fainal, Portugal anachukua kibahati tu, kwenye Kombe la Dunia 2018 , France anachukua Ndoo, Euro ya 2020 Italy aliingia Fainal na England , Italy akachukua kibahati tu, Je ni zamu ya England kuchukua ubingwa? Vipi kuhusu mshindi wa kule America ?
U tabiri wangu
1. England
2. Brazili
3. Argentina
4. Portugal
Hapo Pana bingwa wa Qatari FIFA world cup 2022
MKEKA WAKO UNAMPA NANI MDAU?
CHEKI ZAIDI HAPA>> NANI ATASHINDA KOMBE LA DUNIA 2022
Camerun mbona group stage tayari anapanda ndege kurudi homeWewe na camerun yako mnafika wapi
😄Camerun mbona group stage tayari anapanda ndege kurudi home
Kweli mkuuUingereza wachezaji wao hawana mentality ya kuwin kombe la dunia unless kama watumie mikakati tofauti wakati huu,ni kweli wanawachezaji wazuri sana na wenye vipaji vikubwa ila pia hata wapinzani wao pia wako hivyo nikichukulia mfano wa timu kama Brazil,Portugal na hata Argentina,tatizo la England ni media zao zinapenda sana kukuza vitu japo kiuhalisia hawana kitu Harry Maguire ni moja ya wachezaji wanaounda timu hiyo ila kwa kiwango chake sizani kama atamudu(huo ni moja ya mifano)