Ha!!
kadoda11, you should welcome this
Mama wawilii (what a moniker) to Kenyan side of Jamii Forums, that's where guys do express their mastery of linguistic during heated and constantly emotive debates. We now have even Nigerians as our common visitors.
English is a language like any other, just generate self confidence and don't waste too much time worrying about your fluency. Take a nose dive and spit it out. It's this lack of confidence that we've seen most Bongo guys putting up "one liner" comments on the Kenyan side of JF. Simply make a habit of writing several paragraphs of analysis, most of us will only be interested on the content and only a brainsick idio.t will concern themselves with your grammar.
Kwa kifupi, nachojaribu kusema, Wabongo wengi kule kwenye forums zetu za Kikenya huwa wamejificha kwenye maneno machache wanapotoa hoja. Kwa uwoga kwamba kuna mtu atahangaika kukosoa uandishi. Ni wachache sana ambao hujitokeza na kuandika hoja iliyokamilika na yenye maneno muhimu. Jipe moyo na ufahamu Kingereza ni lugha tu kama nyingine yoyote, na kama wewe ni demu, hebu jaribu kuwa na uhusiano na Mikenya tunapokuja huko, zungumza nasi Kingereza tunapoenda out. Mademu wengi Wabongo huwa wanatuongelesha Kingereza na aisei wengi wamekua sawa sana.... teh! teh! teh!
kui falcon mombasa