English mbovu ya Linah inatia Aibu

NguoYaSikuKuu

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2013
Posts
681
Reaction score
1,020
Linah ni Msanii mkubwa tu wa Tanzania..Ila hii Description aliyoweka Youtube sio Nzuri!

Hapo kwenye RED english mbovu ,na sikudhani kama kulikUwa na maana wa kuiweka South Africa .
nadhani Anaitangaza South Africa zaidi na GODFATHER
 

Attachments

  • attachment.php 474×390 .png
    7.6 KB · Views: 11,690
Inaonekana Watanzania tupo Tanzania kwa sababu tuu tumejikuta hapa!! Yote haya ni kwamba siasa safi na uongozi bora bado havijapatikana!!

Ya Ngoswe hayo....!!
 
Ukweli ni kuwa audio pia imefanywa south na Uhuru,models na video pia south kwa crew ya Godfather, kosa ni nini hapo?!

Sema labda angeongeza maneno kama Tanzanian Artist/Musician ila pia rejea elimu yake kabla ya kumlaumu!!!!
 
Video ni nzuri very good directing skills i didnt know that video was shoot in south africa! we are going far keep it up linah sanga.
 
bado watanzania hatuna identity ya muziki wetu..! na kama ipo bado saaaana!!miaka 25643!
 
Linah ni Msanii mkubwa tu wa Tanzania..Ila hii Description aliyoweka Youtube sio Nzuri!

Hapo kwenye RED english mbovu ,na sikudhani kama kulikUwa na maana wa kuiweka South Africa .
nadhani Anaitangaza South Africa zaidi na GODFATHER

Hivi mtu kama lina anapewa jukumu la kuitangaza nchi? Mbona mnampa jukumu kubwa sana? Aachwe aendelee kufanya mambo yake na kuitangaza pappuchi yake .hilo la kuitangaza nchi wala hapaswi kulauimiwa lina wenyewe na wamelala! Kuhusu kizungu mbona hata wazazi wenu hawakijui?..
 
Bora Linah kaimba muziki wa Africa ya kusini. Kuna watu wanaimba muziki wa marekani na mnawashangilia.
 
Haka kanalazimisha fani tu muziki hakajui kazi kufanya remix tu mbovu mbovu
Bora auze bangi....
 
Kuna video ya huyu dada ameigiza kila kitu kutoka mafikizolo kwenye ile nyimbo ya khona.
Vichwa tegemezi kama boss wao ruge mutahaba.
 

Uwiiii jibu toshaaaaaaaa
 
mmmh! hapa napita tu

ila mnamuonea washindwa tangaza wenye nchi yeye ataiwezea wapi
 
Ni mpumbavu pekee anayedhania kuandika broken english ni ujinga
Alicho andika lina hakuna mtu anayejua kiingereza asijue anamaanisha nini

Kama mtafiti kidogo jaribu kutembelea fb page, tweeter na insta za wasanii wakubwa duniani ambo hawatoki nchi zinaongea kiingereza uone wanavyo chapia, but all in all ujumbe ufike
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…