English Medium iliyo karibu na Chanika

English Medium iliyo karibu na Chanika

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
18,037
Reaction score
33,681
Mpangaji wangu amepanga kwangu Chanika anatafuta shule nzuri ya English Medium iliyopo karibu na Chanika. Au inayo weza kufikika kwa urahisi kutoka Chanika. Inaweza kuwa Mvuti, Chamazi, Segerea, Ukonga, Gomz etc.

Ada kuanzia laki tisa hadi milioni moja na laki 2 kwa mwaka.

iwe na watoto wengi ( wasiwe wachache sana)

Anae jua afunguke.

But as for me : Msimamo wangu upo palepale Kayumba is the best .
 
Mpangaji wangu amepanga kwangu Chanika anatafuta shule nzuri ya English Medium iliyopo karibu na Chanika. Au inayo weza kufikika kwa urahisi kutoka Chanika. Inaweza kuwa Mvuti, Chamazi, Segerea, Ukonga, Gomz etc.

Ada kuanzia laki tisa hadi milioni moja na laki 2 kwa mwaka.

iwe na watoto wengi ( wasiwe wachache sana)

Anae jua afunguke.

But as for me : Msimamo wangu upo palepale Kayumba is the best .
Kumbe una mpangaji, kwani mwenye nyumba anakua na haki miliki ya mpangaji au ana kua client wake tu,......mimi ntapambana nijenge sitakubali kumilikiwa na mwanaume mwenzangu loh!!!
 
Back
Top Bottom