English Premiership: 2010-2011

English Premiership: 2010-2011

...Red Devils, hawashikiki wala hawabebeki!¬ :becky:
 
beki yao nzuri sana hawa jamaa.
wasumbufu tu kwa man utd wakiwa uwanja wao craven cottage toka walipopanda daraja 2001 na kipa wao alikuwa van der sal wakati huo,subiri uone nao chelsea akicheza kipondo white hart lane kwa spurs
 
Mambo imekweiva Eastlands,
Man City 1 - 0 Liverpool 27th Minute
 
Liverfool in the first 30 mins are very sluggish! Can not even hold the ball.....
 
Adam John kashalamba namba ya floppy Joe Cole kwenye England team!
 
Mancini kajaza Waingereza maana anajua wanaiweza physical game..
 
Back
Top Bottom