English Premiership: 2010-2011

Matchday 3 inaanza mapema mchana huu..

Blackburn inaanza kuikaribisha Arsenal, updates kama kawa ..
 
Van Persie made of glass, already broken..lol
 
nimeipenda style ya blackburn, wanajitahidi kutumia nguvu na mipira mirefu,na wanacheza kwa malengo zaidi maana mipira yao yote wanaidumbukiza kwenye box la arsenal maana wao ni warefu hasa samba na arsenal ni wafupi

huyu koschieny bado sana, hana nguvu na pass zako zinakosa accuracy, so far ni gemu tamu sana kuwatch if you ar neutral!!
 
enka ya van persie imevimba na ni mguu tofauti na alioumia mwaka jana,

scan itakuwa juma3 ,tutakuwa na majibu zaidi,
 
nilidhani nyavu zmbovu zipo bongo tu,kumbe hadi ulaya?

walcot kachana nyavu alipofunga goli,imebidi zirekebishwe kabla ya kuanza 2nd half


we are back!!!
 
Samba ni forward sasa lol.

Fat Sam huyo anachekesha sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…