Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,480
- 4,775
Wakuu mupo???...........Hongereni sana The Gunners kwa ushindi huu....Naona watani(Man Utd) mambo yao si mambo leo....Mkuu AW good to see you
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nafikiri ni red card ile. Ilikuwa rafu ya wazi na isiyo na umuhimu.
Wakuu mupo???...........Hongereni sana The Gunners kwa ushindi huu....Naona watani(Man Utd) mambo yao si mambo leo....Mkuu AW good to see you
Ahsante! Kwi kwi kwi kwi.
BJ vp, mbona hutoi hongera darajani? Au kwa sababu tumezoea kushinda?!! LOLHongereni kwa ushindi Arsenal!!...naona wikend imekuwa nzuri sana upande wenu!!AW, unavyochekelea🙂ha ha
BJ vp, mbona hutoi hongera darajani? Au kwa sababu tumezoea kushinda?!! LOL
hahahahaha! Acha hizo mrembo, tutakie ushindi tafadhali.Yani mpaka nimesahau last time mmeshindwa lini kwa mnavyotembeza ushindi!..natamani mfungwee
Hongereni kwa ushindi Arsenal!!...naona wikend imekuwa nzuri sana upande wenu!!AW, unavyochekelea🙂ha ha
mechi man utd vs liverpool ndio big mechi england,baba muziki wa la liga usipime,hao england watu wa kujitangaza tu,kuanzia timu yao ya taifa,vilabu hadi wachezaji wao,hamna kitu hapo england,wanawakuza kina lampard,gerard na hata barry unaweza kudhani viwango vyao vikubwa kuliko kama iniesta,xavi,busquets na alonso,huyo fabregas muhimu huko ganaz lakini timu ya taifa bench,mwenzie alonso alipokuwa liverpool nae alikuwa anakaa bench kama utakumbuka euro 2008,ila kaja la liga anapata namba national timu,tunamtaka cesc wetu arudi catalan mana huko england wanachonga sanaHakyanani halafu sijui aje mtu aseme La liga ni ligi bora zaidi kwene sayari hii? Nakamtalia hata anipe milioni 100
Tinaendelea..
Updates kama kawa..ulingoni Man U vs The Kop
Napewa nyepesi kwamba ulikuwa honeymoon..lol..Mpemba salama??.........Good to see you mtani wangu
Napewa nyepesi kwamba ulikuwa honeymoon..lol..
Karibu jamvini tukate ishu
Tehe teh........hakuna cha honeymoon wala nn aisee...Kampeni zinabana mbavu huku Mtera
Nadhani game ya leo itaisha kwa sare ama mashetani waeza chapwa