BelindaJacob
Platinum Member
- Nov 24, 2008
- 6,474
- 4,039
Jamani premier league ni tamu sana!
Tena ukizingatia Man City inahuuu!!..:smile-big:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamani premier league ni tamu sana!
Tena ukizingatia Man City inahuuu!!..:smile-big:
:fencing:baby unataka kuingia kwenye ile list ya mchgungaji! JF we dare talk openly....hahahah
Zogo lote leo liko mitaa ya Upton park, Forest gate,West na east-ham, faraja pekee ni kwamba kule mitaa ya Seven sisters na edmonton yids nao watalala mapema kama ilivyo Highbury, Finsbury park na Islington, na kule Fulham road, Kensington na West-end yote leo wale chav with blue shirts na bubbery caps hawaonekani, pheew alau metropolitan police kazi imepungua kwa leo.Leo London ni kilio tuu ukitoa west ham.
Leo London ni kilio tuu ukitoa west ham.
Wengine walianza matanga zamani na hakuna dalili kwamba yataisha.
wasen.ge utawajua kwa comment zao!
Its just a game mbona unatoa macho kama umekula kungwi? Mmefungwa na New Castle, leo mmebamizwa na Man City, Jumapili unafahamu yatakayokukuta maana leo Arsenal wangeshinda wangekuwa hawana presha lakini sasa unajua kabisa kichapo kingume kinawasubiri sasa sijui kama mta-collude kufunga hili jukwaa au vipi?
I hate you! mother F
You better
Kufungwa kubaya eh?
Ur a monkey buddy ! WEWE hujui sport uko kimipasho zaidi f ng hell
Ambayo aliisababisha.Lakini kumbuka Almunia ameokoa penalty.
![]()
Sasa umefurahi? Khe khe khe eeeeeeeeeeeeeee
hata ulaya wanawaita waswahili monkey kuna tofauti gani na wewe?