Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,205
Arsenal inajitahidi kushambulia bila shot on goal
the game is boring
to be honest that was not a red card
Mkuu refa anaangalia intention yako, ikiwa joe cole anajua mpira ule hauendi kokote unatoka nje na yeye bado akafanya rash tackle hapo refa anatafsiri hakukusudia kucheza mpira ila kumgonga jamaa, angelikuwa Joe Cole ni deffender angeweza kupewa yellow.if this is the way we gonna see red cards this year, then nadhani divers will be very valuable
Kwa sababu loserfools hawachezi vizuri au siyo?
Yaani wewe uliye mbali kwenye TV unaweza kusema na kuamua siyo red? The guy never went for the ball.
khe khe hiyo ni red card yake ya kwanza kwenye maisha yake ya kabumbu.
Mbona hawa-score? mana game ndo itachangamka!!tuone lakini...
Aisee MOD, natumia vizuri internet subscription yangu, we wataka ela yangu iende bure?...khaa! mnh, si bure...
msimu huu umekuja na kasi zaidi, nguvu zaidi na ari zaidi!
Haya, tupo pamoja...!
AW, watch your language, this season niko ki-Malaria sugu zaidi so nitachunguza mpaka ukoo wenu ukianza matusi mida hiitumezidisha pasi bila sababu ,liverpool wachumba tu sisi tunazubaa.subiri kijana wako Walcott akiingia utaona.
tumezidisha pasi bila sababu ,liverpool wachumba tu sisi tunazubaa.subiri kijana wako Walcott akiingia utaona.