Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Kila zama na kitabu chake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ile album ilikuwa balaa lingine katika mziki aisee Alikiba alikuwa alikiba hatari tupuMkuu hii album ilikuwa moto sana. Niliipenda na kuna ngoma nikiskia hadi leo naona zinanipa mzuka.
Hivi kila mfinanga basi ana undugu na nandy?Kongo kale, nenda Pale Moshi Mtaa wa Majengo uliza Mzee Mfinanaga alikuwa ni nani,
Kaisikilize na Shika shika featuring nani sijui, hatari sana yule bintiEnika ..namkubali sana ,yule mnyakusa amebarikiwa sana ,kwenye ngoma ya Hawatuwezi ya Nako 2 Nako aliua sana
anatumia jina gani insta.ngoja niitafute hawatuwezi kitambo sanaEnika ..namkubali sana ,yule mnyakusa amebarikiwa sana ,kwenye ngoma ya Hawatuwezi ya Nako 2 Nako aliua sana
Mama yanguMawazo yako mamaaa..
yanaongoza maisha yangu yeeeeehhh
Hivi D-knob yuko wapi maana simsikii siku hizi.