ENOKO: Duniani mpaka mbingu ya 10

Sijasoma huu ushuzi wako kwani Biblia inasema Mpumbavu husema moyoni mwake kuwa hakuna Mungu. U mpunbavu tu dogo na huna ujuacho humu duniani.
 
Na sehemu inayounguza yenye moto mkali na muda huo huo kuna barafu kali.!! πŸ™„
Sasa barafu si inayeyuka sababu ya moto??!
Jamani hivi vitabu vina mauongo mengi.
Au Enoko alikuwa kwenye njozi?
Pia amesema kwenye mbingu ya tatu upande wa kaskazini kulikuwa na moto ambapo ndani ya huo moto watu walikuwa wakichomwa, sasa wanachomwa kwann wakati tulikubaliana kiama bado hvy watu wametengwa mahali kusubiri hy hukumu ya moto 😎
 
Kwanza, aliwaona je wakati ni giza ?
Na kwanini wawe weusi?
Na machozi Meusi kayaonaje na huku kugiza ?
Labda ndio sababu kiliondolewa hakina uhalisia πŸ€”
 
Nimesoma biblia kidogo ila hichi kitabu kinaenda kinyume na biblia kabisa kwa upande wangu
 
Pia amesema kwenye mbingu ya tatu upande wa kaskazini kulikuwa na moto ambapo ndani ya huo moto watu walikuwa wakichomwa, sasa wanachomwa kwann wakati tulikubaliana kiama bado hvy watu wametengwa mahali kusubiri hy hukumu ya moto 😎
😁😁 Ni pre season
 
Kwahio sababu huyu Enoko alisema au wengine wote kama yeye basi tuamini walichosema ?

Anyway sababu ni Imani nadhani ni chaguo la mtu kuamini anachoamini ndio maana nashangaa watu wanaosema Ngw'anamalundi alikuwa tapeli kwa kusema aliweza kutembea juu ya maji alafu wanaamini Ngw'anamalundi wa Wayahudi (Yesu) kwamba alifanya hivyo...

To each their own....
 
Eti malaika ana mabawa kama ndege njiwa!?
so bila mbawa hawezi kuruka au?
 
Pia amesema kwenye mbingu ya tatu upande wa kaskazini kulikuwa na moto ambapo ndani ya huo moto watu walikuwa wakichomwa, sasa wanachomwa kwann wakati tulikubaliana kiama bado hvy watu wametengwa mahali kusubiri hy hukumu ya moto 😎
Hizi hadithi km zile tulizokuwa tunadanganywa tukiwa watoto, mama akienda kujifungia tunaambiwa kaenda kununua mtoto baharini.!!
Cha ajabu anarudi na binadamu badala ya samaki.!! 🀣🀣
 
Ukisoma kwenye Biblia, ni watu wawili tu ndiyo ambao hawakuwahi kuonja mauti, nao ni Nabii Eliya na Enoko. Mungu hakutaka kuwaua, aliwatwaa na kuwapeleka mbinguni.
Ukiangalia kwa jicho la ndani, uwezekano mkubwa ni kwamba hata Mussa naye pia hakufa bali alichukuliwa akiwa mzima na Mungu mwenyewe, huku Mungu akiwa na sababu zake maalumu za kuwaambia Waisrael kuwa "Mussa mtumishi wangu amekufa"

Ndiyo maana pale kilimani walipokuwa wapo na Yesu, Petro aliwaona Musa na Eliya
 
Wewe ndie Nyemo Chilongani??
Hizi story huwa zinawapa wafuasi wengi sana, ukiachana na hilo huwa zinawafanya muonekane ni magreat thinker mno.
Keep it up kijana.
 
Kwamba Mungu aliwadanganya watu wake??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…