ENOKO: Duniani mpaka mbingu ya 10

Inasemekana yule Mage ndio demu wa Issa, tena alizaa nae watoto kabisa, Petro ana data nyingi sanaa kuhusu huyu manzi
 
Malaika huwa wanachorwa weupe na shetani anachorwa mweusi hizi dini za kuja zishaona asilimia kubwa ya wafrika ni mazuzu sasa huko mbinguni ni wapi kwa dunia ilivyo yaan hadithi za kutunga miaka hiyo hadi Leo watu wanaamini so sad
 
Uk
Ukisoma kitabu cha the woman with alabster jar utajua mengi huyo Magdalena alikuwa na uhusiiano wa kimapenzi na Yesu that's why walikuwa karibu sana
 
Malaika huwa wanachorwa weupe na shetani anachorwa mweusi hizi dini za kuja zishaona asilimia kubwa ya wafrika ni mazuzu sasa huko mbinguni ni wapi kwa dunia ilivyo yaan hadithi za kutunga miaka hiyo hadi Leo watu wanaamini so sad
Hadithi za Esopo😁
 
Chai
 
Fiction 100
 
Ila nyie Ndugu jamaa hajamaliza ila mnavyopinga Sasa mngesubili amalize ndio muanze maneno kama chai, hii imezidi, ndio maana jamaa ameamua kumyuti😁😁😁
 
Mwenye link ya hicho kitabu Cha Enock anaisaidie na mimi nikisome
 
Hakuna malaika wa kike,nitajie mmoja unaemjua?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…