ENOKO: Duniani mpaka mbingu ya 10

Sio kweli
Eliya ndiyo yohana mbatizaji tumia akili wewe zuzu ...nyakati ni tofauti ila ndiyo yeye ...elia alizaliwa tena nyakati za kristo ndiye yohana mbatizaji na kufa kwa kukatwa kichwa ...wanafunzi wa yesu walimuuliza yesu kuhusu mafundisho wakimuuliza mbona watu wa dini wanasema eliya anakuja kwanza kabla kristo ...yesu akawajibu kuwa eliya amekwisha kuja ila wamemtenda uovu kama walivyo taka ...ndipo wanafunzi wake wakajua kuwa anamzungumzia YOHANA MBATIZAJI.
 
Hii stori kama haionyeshi ile mito ya pombe na zile bikira 72 alizosema Muhammad ni uongo mtupu. Haiwezekan tufike mbinguni bila kukuta ngono wala ulevi bana.
 
kwaio uyo enoko aliludi kuandika kitabu au aliandika akiwa huko huko mbinguni.? 😂 hichokitabu nipumba ndiomaana kilitolewa.! hichochumba alichokua amelala kilikuaje sasa.? kikubwa sana au? maana umesema malaika niwakubwa hajawahi kuona. wanatosheaje kwenye chumba Cha mtu?
 
Halafu si tulikubaliana kwamba malaika ni roho kwamba roho Haina mwili! Imekuaje Tena malaika ananyongwa!!? Mabawa ya malaika ni ya manyoya kama ya nkiwa ama ya ngozi kama mabawa ya popo??
Halafu nmesoma mahali kwamba wanasayansi wamejaribu kuivunja firmament wakashindwa, ni wanasayansi wa wapi hao na wapi huko walijaribu kufanya hivyo??
Chai.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…