na mimi pia nimechaguliwa hiyo hiyo ila ninachokijua hii ipo ardhi tu pekee admission capacity ni 75,fee 1,100,000...duration 4 years...mtu aliyesoma hii anaweza kujikita kwenye migodi,mambo ya maji na projects mbali mbali hii kozi ni adimu mnoo wahitimu wake tunahitajika sana nchini.