Enyi Mashabiki wa Manchester United hebu punguzeni basi ushamba kidogo!

Mimi arsenal damu hata yesu kristo akirudi atakuta nipo na arsenal yangu. Semeni yote lakini huyo anayesumbua mtaani nitamdungua na magobole yangu kama nilivyomnyoosha msimu uliopita. Bingwa wenu mwenyewe ana makovu ya kichapo changu.
Nipo nimetulia nakoki mashine zako kwa kazi hapo kesho. Viva arsenal vivaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa na wewe umecheza mechi ngapi hadi unaanza kelele kwanza Liverpool ni zilipendwa sitarajii kijana wa sasa kuwa shabiki wa Liverpool kwani hamna cha maana mlichofanya izo kelele tu

Heavy Weight
 
Ila bingwa alikurarua pia usisahau hilo

Heavy Weight
 
Na Leo Leicester anatandikwa 3_1

Glory glory glory Manchester united

mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?
 
uliyeandika ni sawa na hao uliowaandika, umeweka ushabikishabiki hapa, kwenye epl utawadharau vipi chelsea, mancity, totnham na hata arsenal. Inaonesha wewe pia ni mshabiki wa simba, ukatarajia matokeo makuuubwa wakati kuna timu nzuri kuliko yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Mkuu jiandae kuwekwa kwenye gunia na kuliwa na mamba. kwenye mto rufiji. Weka Will yako tayari . Pia anza kuwaaga ndugu, jamaa na marafiki. Liverpool ni kama timu ya tatu /nne sasa hivi Kwenye Premier League kwa ubora wa squad yao.
 
Hata wewe hunatofauti na mu

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Oya kuna Mtu kakutuma humu utuwekee huu ' Upuuzi / Upupu ' wako wa msimamo wa Ligi ya EPL. Hebu ondoa hii ' takataka ' yako tafadhali sawa? Hakuna Timu ninazozichukia duniani kama Manchester United na Yanga SC. Hata ushindi wa Manchester United wa leo magoli yote yamepatikana kwa msaada wa Mwamuzi / Referee. Sasa subiri muone mziki wa Liverpool FC Kesho ambapo kuna uwezekano mkubwa mno Arsenal akafungwa idadi ya goli alizofungwa Ruvu Shooting leo ( Wiki / Magoli Saba ) dhidi ya ' Mnyama Mnyamani ' Simba SC pande za Taifa / Shamba la Bibi.
 
Itakuwa ulikuwa unaangalia Mieleka

Sent From My Nokia Ya Tochi
 



Mkuu hapo pa ruvu shooting nimecheka sana
 
[emoji1] we unastress sio bure

mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?
 
Wewe ndo mshamba na mshabiki maandazi, mpaka leo unaiita "Barclays premier leag"?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…