Enyi mnaoitwa Wanaume

fact!!!!!! ila nakuonea huruma mawazo yako ni stone age co xa hv... am a gentlmn ni wajb wng kuhudumia xo ucnfundshe kazi
 
Sasa kwanini tunauliza unafanya kazi gani?? Kwani mapenzi yanahusika nini na kazi yangu?

Once mwanamke ukimtongoza na akakubali anafikiria mbele na aendane na mazingira ulonayo tatizo wanaume wengi waongo sana.......
 
Wengine tunawaonesha uthamani wao ila hawatuthamini sisi sasa ngoja
 
Mambo ya tamthiliya na vitu vya kufikirika vinakusumbua
 
¡¡¡¡¡¿¿¿¿¿ Acha kuzunguka mbuyuuuu....

--- Nyie mnapendaaaaaa sanaaaaa...pesaaaaaa pesaaaaaaa.....pessaaaaaaaaaaa

:::::: Pesa it includes cars...houses...being rich ndio kila kituuuuuu......

::::::: Pichu kila aina inafuata PESAAAAAAAAAAA...utavua kila mwanamkeeeeee.......

::::: acha maneno ya mtaani....HUPATI MAKU IKIWA HUNA PESAAAAAAAAAA HATA UWE NA UPENDO KAMA MALAIKAAAAAAAAAA

:::::: Nyie wanawake acheni kuzunguka zunguka....

:::::: PesAaaaaaaaaaaa ndio kila kituuuuu.....!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…