United ya Ferguson
JF-Expert Member
- Oct 29, 2021
- 3,132
- 6,353
Hapo sasaU
Unataka kusema kwenye hiyo fedha viongozi waliokuwa wameambatana na hao watoto hawajalipana ila inaelekezwa kwenye facilities yote ama wao wanalipana inayotoka wapi?
HATARI SANA MKUU HII TABIA INAFAA KUKEMEWA KABISA.Mimi nimeona wanajitetea tu ila utetezi wao hauna mashiko kabisa wanawezaje kuwapa elfu ishirini na kuwapokonya Jezi yaani wao mpaka leo nguo wanaona kitu cha maana sana..
Wapewe hata motisha kama sio wao basi pesa zipelekwe kwa wazazi waoHili binafsi hata mimi limenishangaza mtoto wa miaka 15 bado ni mdogo sana hata interest na hela huwa hawana kiivo huwa wanapenda kucheza mpira na kufurahi hayo mambo ya pesa nadhani kuna vijeba kwenye timu wanawashawishi vibaya madogo
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Kuwakemea wezi ni ngumu sana mkuu kama wanawaibia hadi watoto kwa kuwapa elfu ishirini inatakiwa wawaachie watu wa mpira wapigaji watoke hapo TFFHATARI SANA MKUU HII TABIA INAFAA KUKEMEWA KABISA.
Zawadi walipewa Nani na ili iweje. Mfano Kiongozi WA Taifa Stars wakipewa zawadi inakuwaje, viongozi ndio wanakula auZawadi walipewa watoto?
Au zawadi imeenda kwa taifa mshindi?
Huu hapa wa Rooney kabla hajafikisha miaka 17Zawadi walipewa watoto?
Au zawadi imeenda kwa taifa mshindi?
PELEKA MWANAO AKAFUNDISHWE UZALENDO MWEHU WEW.Wanafundishwa uzalendo,
Sio kila kitu kulalamika tu nyie kenge
NAKAZIAKuwakemea wezi ni ngumu sana mkuu kama wanawaibia hadi watoto kwa kuwapa elfu ishirini inatakiwa wawaachie watu wa mpira wapigaji watoke hapo TFF
We unahisi inakuwaje?Zawadi walipewa Nani na ili iweje. Mfano Kiongozi WA Taifa Stars wakipewa zawadi inakuwaje, viongozi ndio wanakula au
Alikuwa akilipwa wapi hapo?Huu hapa wa Rooney kabla hajafikisha miaka 17
That left Rooney earning a basic £90-a-week as he played under a scholarship contract, though his regular outings for the first-team boosted that to nearer £1,500.
WE JAMAA UNATETEA VITU VYA KIJINGA SANA.Alikuwa akilipwa wapi hapo?
National team?
Unajua mnapenda kujidhalilisha?
UNAJUA MICHUANO MINGAPI HAO MADOGO WAMESHIRIKIKwani wangewapa 200,000 kila mmoja isingefika hata 10,000 . Tuache ulafi
na gharama za kuwatunza hao watoto mpaka wanafika 15 walitoa tff au serikali, hv we mtu unawaza namna gani?Kwahiyo walipwe wazazi? Tsh ngapi kila mmoja unapendekeza.
Vipi Gharama za kuwatunza wakiwa kule walitoa wazazi?
Vipi gharama za watoto mwakani watatoa wazazi?
Hivi nyie watu huwa mnawaza Namna gani?
Jezi si mali ya tff ni mali ya mchezaji akishakabidhiwa, ndo maana ana uhuru wa kubadilishana na mchezaji pinzani baada ya mechi kuwalizika au hata kumpa shabiki. hayo mambo ya kufua jezi yalishapitwa na wakati, na kama kuna kiongozi anang'ang'ania jez huyo hatufai,Kupokonywa una maanisha nini?
Wachezaji wamerudisha Jezi.
Hawajapokonywa......
Na sioni hoja hapa, ni lini Jezi mtu anaondoka nazo Bongo hii?
Kwani hamfahamu Jezi zinafuliwa......
Ni vizuri kama jezi wangeondoka nazo, ila kuambiwa wazirudishe haipaswi kuwa hoja ya malalamiko.