Enyi wachambuzi wa mpira, mbona hampazi sauti juu ya uhuni uliofanywa na TFF kuwadhurumu watoto haki yao?

ETI PESA ZIMEENDA KUJENGA MIUNDO MBINU.
 
Umasikini upo kwenye damu huo na hata ukifanikiwa huwa hautoki watoto watoke nje ya Nchi harafu uwape 15,000 unaona sawa upo sawa kweli kichwani mwako? Haya watoto hutaki kuwapa pesa umewafanyia nini kama burudani yao ?
 
Hapa tunakubaliana ila sio kijana wa miaka 14 kupigia hesabu ya kugawana pesa wakishinda team ya Taifa.
shida yako hufikirii nje ya box, posho/kulipwa ni suala mtambuka, ndo maana nchi za wenzetu mtoto akiwa na kipaji kinacholipwa anatafutiwa manager au mzazi ndo anakuwa msimamizi wake, nchi za watu huwez mtumia mtu burebure tu kwa kisingizio et bado mtoto.
 
Umasikini upo kwenye damu huo na hata ukifanikiwa huwa hautoki watoto watoke nje ya Nchi harafu uwape 15,000 unaona sawa upo sawa kweli kichwani mwako? Haya watoto hutaki kuwapa pesa umewafanyia nini kama burudani yao ?
Hapa unamzungumzia nani ?
Mimi au hao watoto sikuelewi?
 
we ndo unayeelewa mambo siyo, mnatumia vipaji vya watoto wa watu kupanua matumbo yenu na wake zenu, kwa nn msingepeleka watoto wenu kucheza.
Unaweza ukawatukana hawa vima yaani utengeze shule kwa ajili ya kujitafutia pesa kupitia watoto harafu anakuja Kima mmoja anawatetea Wezi wenzie...
 
Watakuwa wamekula mgao. Mwandishi wa habari ukimpa 10,000 tu umemteka.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
labda miundombinu ya matumbo ya viongozi wa tff maana kila aliye pale ana tumbo kama gunia, yaani unasubiria zawadi ndo ukajengee miundo mbinu? yule msomali si binadamu wallah.
Msomali arudishwe kwao Somalia kwa kweli,, WATANZANIA hawawezi kuwa na Akili za kikatili kiasi hiki...

Eti jezi nayo inajengewa miundo mbinu ...

Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
 
We mbwa, hivi mpira ni juhudi binafsi au mbio za mwenge ambazo kila mmoja anashiriki?

Kama ni juhudi binafsi, kwanini mtu asipewe motisha?

Timu ya taifa ya wakubwa hawalipwi? Au kwa sababu wanawezabkudai na kugoma.

Hao watoto hata ulaya wanawapa motisha. Iko namna ya kuwalipa.

Kumbuka nao wana majukumu yao katika familia zao. Wanahitaji mahitaji ya shule nk.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Sio Tu ni motisha Bali ni zawadi zingatia neno ZAWADI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…