Enyi wachambuzi wa mpira, mbona hampazi sauti juu ya uhuni uliofanywa na TFF kuwadhurumu watoto haki yao?

H
Hajui chochote huyo boya anaropoka tu humu ndani eti timu ya taifa hutakiw kulipwa!!! Alafu unaweza Kuta ni Kiongozi humo humo tff.
 
Wangepewa hata vifaa vya Michezo na jezi, jezi za mashindano et wamechukua huu ni ufala sasa madogo wangebadilishana jezi na wenzao ingekuaje? Wangeambiwa wazifate?
tff ina watu wa ajabu sana tangia zamani, canavaro alibadilishaga jezi na eto (timu ya taifa) ilikuwa ishu ngumu sana kwake, ikafika mpaka akaambiwa afuate jezi alipo eto au afanye mpango eto atume hyo jezi. Ilibid mpaka waziri aingilie kati kuwa jezi akishakabidhiwa mchezaji ni mali yake, ndo tff wakaufyata.
 
Hili ni andiko bora la mwaka upande wa jamii sports,japo unaonekana unapenda kuonyesha lawama na vidole kwa watu.Ukiacha usimba na Uyanga una kichwa kizuri.
 
Hao wanaosema mtoto wa miaka 15 hatakiwi kupewa pesa, wanalinganisha mitoto yao ( akina Junior) ambayo bado yanafuliwa nguo.
Kwa kijijini mtoto wa miak 15 ameshajenga gheto lake mwenyewe na anaijua pesa nini, wengine wanategemewa na familia, na unaweza kuta anaishi na bibi.
Watoto wapewe haki yao, Karia asilete akili zake za ukada.
 
UPO SAHIHI MKUU [emoji736]
 
Kuna shida mahala kwa hawa wachambuzi wetu, asilimia kubwa wanawaza kuwashambulia simba au yanga na lengo kusaka followers mitandaoni

Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
 
Karia ni Mwizi

Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
 
Mkuu unaoneana ni mchoyo na mbinafsi kuliko hebu jaribu kuwa muungwana kidogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…