Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Acha kunywa pombe,usiwe na mahusiano yoyote na mwanamke,ishi nyumba ya bei nafuu,vaa mitumba,fanya kazi kwa bidii na usichague kazi hiyo ndio dawa ya kuwa tajiri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama upo serious ni PM kuna bibi anaitwa Mwanakingi Sumbawanga Hapo, Nitafute!
Mkuu nipe mie nkapate hizo pesa fastaKama upo serious ni PM kuna bibi anaitwa Mwanakingi Sumbawanga Hapo, Nitafute!
Tunduma huku naona vijana wanapewa kuku na mganga,wewe unakuja na punje za mahindi kutupia idadi ya punje atazo kula ndio miaka yako ya kutusua mapene baada ya hapo Roho yako inaacha mwili,sasa itokee kala punje moja ni noma Sana.
PM mkuu!Mkuu nipe mie nkapate hizo pesa fasta
hahahaaaa mpaka pm?PM mkuu!
Tunduma huku naona vijana wanapewa kuku na mganga,wewe unakuja na punje za mahindi kutupia idadi ya punje atazo kula ndio miaka yako ya kutusua mapene baada ya hapo Roho yako inaacha mwili,sasa itokee kala punje moja ni noma Sana.
Mwanakingi ni tajiri?Kama upo serious ni PM kuna bibi anaitwa Mwanakingi Sumbawanga Hapo, Nitafute!
Akikujibu ndo na mimi ntakuwa na maamuzi ya kumfuata pm au lahMwanakingi ni tajiri
Huyo bib yeye ni tajir au maana utawezaje kumpatia mwenzako utajiri wakati ww mwenyewe hohe hahe!!!!!!!!Kama upo serious ni PM kuna bibi anaitwa Mwanakingi Sumbawanga Hapo, Nitafute!
Sasa kama hana mkuyenge hizo pesa atapeleka wapi?Upo tayari kukatwa mkuyenge upate utajiri?
au asile hata moja!!!Tunduma huku naona vijana wanapewa kuku na mganga,wewe unakuja na punje za mahindi kutupia idadi ya punje atazo kula ndio miaka yako ya kutusua mapene baada ya hapo Roho yako inaacha mwili,sasa itokee kala punje moja ni noma Sana.
Aseeee!! utamuua kuku kwa utajiri wako.Bora kuku akwambie uje nae unaweza fungia siku tatu ndio unapeleka atadonoa punje nyingi sasa wa kumkuta pale kashiba si anadosoa vichache.
We jamaaMkuu huko nikubaya sana unako elekea bora ubaki na maisha yako hayohayo ulo kuwa nayo
baba hiyo picha kwenye avatar ni nomaNakutakia Kila la kheri
Nalog off