Enyi Wanamichezo kwa 'Kauli' hii ya Mukoko Tonombe aliyoisema kwa Ndugu yake Mmoja leo amemaanisha nini ?

Enyi Wanamichezo kwa 'Kauli' hii ya Mukoko Tonombe aliyoisema kwa Ndugu yake Mmoja leo amemaanisha nini ?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
"Kwa jinsi ninavyocheza kama nikibahatika Kucheza pamoja na Wachezaji kama Chama, Mkude, Morisson, Dilunga, Miquissone, Morisson na Kipa bora Tanzania Manula Kazi yangu itakuwa nzuri na rahisi kwani ni Wachezaji ambao nawapenda, nawatamani na bahati mbaya sana nilipo sasa sijaona wa Kuwafananisha nao. Huenda Mkopo wangu wa Miezi 6 ukimaliza nikajiunga nao waliko"
 
Hivi wale wakina Fabrice Ngoma,Makusu nk utafananisha na hao wakina Bocco na Mkude? Kweli Mahaba niue
 
"Kwa jinsi ninavyocheza kama nikibahatika Kucheza pamoja na Wachezaji kama Chama, Mkude, Morisson, Dilunga, Miquissone, Morisson na Kipa bora Tanzania Manula Kazi yangu itakuwa nzuri na rahisi kwani ni Wachezaji ambao nawapenda, nawatamani na bahati mbaya sana nilipo sasa sijaona wa Kuwafananisha nao. Huenda Mkopo wangu wa Miezi 6 ukimaliza nikajiunga nao waliko"
Huwa unawaita wenzio popoma. Kumbe wewe ndio popoma uliyekubuhu. Unaleta maneno ya kanga badala ya kuleta video tumuone na tusikie Mukoko akiongea hayo maneno
 
Anaipenda simba na anataka kuchezea simba na sio kwenye kikundi cha wahuni cha deportivo de mafuriko.
Sasa hapo atletico de mnyero kuna kipi cha ajabu!nyie jiandaeni na maumivu ya chama akiwa kwenye uzi wa yellow and green
 
"Kwa jinsi ninavyocheza kama nikibahatika Kucheza pamoja na Wachezaji kama Chama, Mkude, Morisson, Dilunga, Miquissone, Morisson na Kipa bora Tanzania Manula Kazi yangu itakuwa nzuri na rahisi kwani ni Wachezaji ambao nawapenda, nawatamani na bahati mbaya sana nilipo sasa sijaona wa Kuwafananisha nao. Huenda Mkopo wangu wa Miezi 6 ukimaliza nikajiunga nao waliko"
Ndio maana Rage aliwaita mbumbumbu.
 
"Kwa jinsi ninavyocheza kama nikibahatika Kucheza pamoja na Wachezaji kama Chama, Mkude, Morisson, Dilunga, Miquissone, Morisson na Kipa bora Tanzania Manula Kazi yangu itakuwa nzuri na rahisi kwani ni Wachezaji ambao nawapenda, nawatamani na bahati mbaya sana nilipo sasa sijaona wa Kuwafananisha nao. Huenda Mkopo wangu wa Miezi 6 ukimaliza nikajiunga nao waliko"
Sawa Nabii Tito
 
1605360298369.png
 
hakuna mchezaji Afrika mashariki asietamani kucheza simba
Na Simba SC ndiyo njia panda ya kwenda ama kwa Malkia Elizabeth ( Ulaya ) au kwa 'Diplomat' aliyetukuka 'Rais' Mteule ( Marekani ) au hata Asia.
 
Back
Top Bottom