GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kwani Mkuu kwa ulivyoielewa Wewe hiyo 'Kauli' yake hapo unadhani amemaanisha nini na labda kuna Timu gani 'anaitamani' sana hapa Tanzania?Wakati ni ukuta kwa sasa mikia hamna hadhi ya kumiliki mchezaji kariba ya Serge Mukoko Tonombe "SMT"
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi niliona clip yake tu akijiandaa kuingia mazoezini huku akisema "watasubiri sana"!Kwani Mkuu kwa ulivyoielewa Wewe hiyo 'Kauli' yake hapo unadhani amemaanisha nini na labda kuna Timu gani 'anaitamani' sana hapa Tanzania?
..anajitekenya na kucheka mwenyewe..Kutwa-kucha habari za Yanga tuu. Yan yuko kama yule mropokaji wao, bila kuzungumzia masuala ya Yanga huwa hawana content nyingine ya kuongeleaNaona unajitekenya alafu unacheka mwenyewe
Huwa unawaita wenzio popoma. Kumbe wewe ndio popoma uliyekubuhu. Unaleta maneno ya kanga badala ya kuleta video tumuone na tusikie Mukoko akiongea hayo maneno"Kwa jinsi ninavyocheza kama nikibahatika Kucheza pamoja na Wachezaji kama Chama, Mkude, Morisson, Dilunga, Miquissone, Morisson na Kipa bora Tanzania Manula Kazi yangu itakuwa nzuri na rahisi kwani ni Wachezaji ambao nawapenda, nawatamani na bahati mbaya sana nilipo sasa sijaona wa Kuwafananisha nao. Huenda Mkopo wangu wa Miezi 6 ukimaliza nikajiunga nao waliko"
Sasa hapo atletico de mnyero kuna kipi cha ajabu!nyie jiandaeni na maumivu ya chama akiwa kwenye uzi wa yellow and greenAnaipenda simba na anataka kuchezea simba na sio kwenye kikundi cha wahuni cha deportivo de mafuriko.
Ndio maana Rage aliwaita mbumbumbu."Kwa jinsi ninavyocheza kama nikibahatika Kucheza pamoja na Wachezaji kama Chama, Mkude, Morisson, Dilunga, Miquissone, Morisson na Kipa bora Tanzania Manula Kazi yangu itakuwa nzuri na rahisi kwani ni Wachezaji ambao nawapenda, nawatamani na bahati mbaya sana nilipo sasa sijaona wa Kuwafananisha nao. Huenda Mkopo wangu wa Miezi 6 ukimaliza nikajiunga nao waliko"
Sawa Nabii Tito"Kwa jinsi ninavyocheza kama nikibahatika Kucheza pamoja na Wachezaji kama Chama, Mkude, Morisson, Dilunga, Miquissone, Morisson na Kipa bora Tanzania Manula Kazi yangu itakuwa nzuri na rahisi kwani ni Wachezaji ambao nawapenda, nawatamani na bahati mbaya sana nilipo sasa sijaona wa Kuwafananisha nao. Huenda Mkopo wangu wa Miezi 6 ukimaliza nikajiunga nao waliko"
Ameiongea mkiwa chumbani anakufanyaje?Kwani Mkuu kwa ulivyoielewa Wewe hiyo 'Kauli' yake hapo unadhani amemaanisha nini na labda kuna Timu gani 'anaitamani' sana hapa Tanzania?
Na Simba SC ndiyo njia panda ya kwenda ama kwa Malkia Elizabeth ( Ulaya ) au kwa 'Diplomat' aliyetukuka 'Rais' Mteule ( Marekani ) au hata Asia.hakuna mchezaji Afrika mashariki asietamani kucheza simba
Uliotukuka.๐๐popoma kwenye ubora wako
๐๐๐Uliotukuka.