mapipando
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 2,922
- 3,559
Jumapili na iwe njema kwenu wakuu.
Unakuta mdada/mmama amekaa na shoga zake anawatambia kuwa mpenzi/mumewe ni mpole na hana mchepuko hata kidogo.........thubutuuu........ si ajabu hao anaowaambia kuna mmoja wao ama wawili wanagongwa na huyo kipenzi chake.
Mwanaume bila mchepuko ni sawa na mchuzi wa nyama bila nyama.(Oneni hapo ilivyo haiwezekani)
Nawashauri kwamba msitambe na msijidanganye kuwa waume zenu hawapigi mechi za kirafiki, cha msingi ombeni Mungu wasiwe na michepuko mingi na pia msiitambue michepuko yao.
Unakuta mdada/mmama amekaa na shoga zake anawatambia kuwa mpenzi/mumewe ni mpole na hana mchepuko hata kidogo.........thubutuuu........ si ajabu hao anaowaambia kuna mmoja wao ama wawili wanagongwa na huyo kipenzi chake.
Mwanaume bila mchepuko ni sawa na mchuzi wa nyama bila nyama.(Oneni hapo ilivyo haiwezekani)
Nawashauri kwamba msitambe na msijidanganye kuwa waume zenu hawapigi mechi za kirafiki, cha msingi ombeni Mungu wasiwe na michepuko mingi na pia msiitambue michepuko yao.