Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Na hatutaki ushauri🤣🤣🤣
Benki ili watukate kodi, wale kwa urefu wa kamba!! Akuuuuuuuu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na hatutaki ushauri🤣🤣🤣
Uwiii na mimi saa 12:30 nimetuma😂
Ujumbe umefika
Ila babu uko open minded sana...nakuletea kiko kesho asubuhiWaache Wanawake wajiwekee akiba, maana siku hizi Wanaume tumekuwa wavivu kuhudumia, Wala kununua vitu vya ndani
Unakuta Mume anatoa shilingi elfu 30 anamwambia Mke eti hela ya kutumia wiki mbili 🙌
Bora hiyo michezo inawasaidia
Umenitajia Kiko nimetamani uniletee hata leoIla babu uko open minded sana...nakuletea kiko kesho asubuhi
Umesema kweli. Wengine wanaishia kuuza utu wao ili wachangie ama waishi baada kuwa wamepeleka hizo fedha kwa kijumbe 😀Hii sasa imevuka mipaka. Migogoro na ugomvi ni wa kutosha baada ya kudhulumiana pesa. Michezo ni mingi mno. Kuna hadi michezo ya vyombo. Michezo karibu yote haifuati sheria wala utaratibu unaoeleweka. Mbaya zaidi utakuta vikundi vingine ni vya ONLINE.
Wewe mwanamke wa Tanzania nakuamuru achana na huo upuuzi unaoitwa mchezo. Kama huna nidhamu ya pesa usidhani michezo itakusaidia. Hiyo hela unayotunza kila siku kwa kijumbe si uongezee mtaji wako wa biashara? Wengi wenu mmekuwa Low Profile ili mpate hela za mchezo. Kuna ambao mnacheza michezo ya hela nyingi ndo mmekuwa hatarini zaidi.
Kama unataka kutunza pesa zako nenda benki iliyoko karibu nawe watakushauri namna sahihi na salama ya kuhifadhi pesa zako. Wanaume wanaoshiriki michezo pia waache huo upuuzi.
Nawe unawekewa na best yakoUjumbe umeeleweka 🐒
Hauko salama.Siyo michezo yote ni mibaya, Mimi pia mchezo wa hela inapita kwa kijumbe siutaki! Mchezo mzuri ni ule ambao mna group la what's up na mtu mwenye zamu ya kupokea anaweka no ya simu/acc ya bank yake na kila mmoja anamtumia...... inasaidia sana kutokudhulumiana nk
Msituone wamama hatuna akili hii michezo inasaidia kukusanya Ada za watoto,kodi na hata wengine tunajenga kwa njia hii kikubwa ni uaminifu na nidhamu, zaidi muwe mnajuana mna shughuli za halali kama mnafanya kazi au biashara muhimu ni uhakika wa kulipa hasa ukiwa umeshakula za wenzio.
ile inakuwa kama mty anakukopesha bila riba so mm kwangu naona inasaidia sanaTulia wewe nna mchezo 10M kwa mwezi
100M kwa mwezi, umenisafirisha nje huko…
Kama unacheza michezo ya 2000, mama Amina kakimbia na hela , Tulia.
Babu!kaa na simu standby bibi asione mipango yetu nakuja inboboUmenitajia Kiko nimetamani uniletee hata leo
Kesho ni weekend, twende maeneo tukale ile kitu 🤗
Duhinasaidia sana hii
Sawa, utanikutaBabu!kaa na simu standby bibi asione mipango yetu nakuja inbobo
Tumeanza 2017 hadi leo hakuna alyewahi dhulumiwa unataka usalama upi tena?!!! Tatizo una kaririHauko salama.
Ulizia account zisizo na Makato mfano mm nilikua na malengo yangu nikafungua nmb wallet hakika ilinisaidiaNa hatutaki ushauri🤣🤣🤣
Benki ili watukate kodi, wale kwa urefu wa kamba!! Akuuuuuuuu!
Hii sasa imevuka mipaka. Migogoro na ugomvi ni wa kutosha baada ya kudhulumiana pesa. Michezo ni mingi mno. Kuna hadi michezo ya vyombo. Michezo karibu yote haifuati sheria wala utaratibu unaoeleweka. Mbaya zaidi utakuta vikundi vingine ni vya ONLINE.
Wewe mwanamke wa Tanzania nakuamuru achana na huo upuuzi unaoitwa mchezo. Kama huna nidhamu ya pesa usidhani michezo itakusaidia. Hiyo hela unayotunza kila siku kwa kijumbe si uongezee mtaji wako wa biashara? Wengi wenu mmekuwa Low Profile ili mpate hela za mchezo. Kuna ambao mnacheza michezo ya hela nyingi ndo mmekuwa hatarini zaidi.
Kama unataka kutunza pesa zako nenda benki iliyoko karibu nawe watakushauri namna sahihi na salama ya kuhifadhi pesa zako. Wanaume wanaoshiriki michezo pia waache huo upuuzi.elf 10.
Bank na wenyewe makato yao mie nacheza mwenyewe😂😂 kila siku nahakukisha niketupia katika simu yanguHalafu tunaoumia ni sisi wanaume, kutwa kuombwa pesa za mchezo , huwa nasikia hasira sana kuombwa pesa za michezo.., maana wakati wa kuvunja hivyo vikoba wala hushirikishwi, ila kwenye kuweka sasa..
,😂😂😂😂 Uwe unauliza uliza siku ya kuvunja kikobaHalafu tunaoumia ni sisi wanaume, kutwa kuombwa pesa za mchezo , huwa nasikia hasira sana kuombwa pesa za michezo.., maana wakati wa kuvunja hivyo vikoba wala hushirikishwi, ila kwenye kuweka sasa..