Enyi wanawake wa Tanzania nani aliwaloga kuhusu michezo ya kuwekeana pesa?

Ujumbe umefika

Nipo hapa na kijumbe mkusanya pesa yeye anasema michezo ni mizuri inategemea na lengo au kiasi anachopewa mtu na wachangiaji kama wachangiaji wote hawana tatizo. Mchezo utakua na faida

ila wapo wanaochezesha mchezo kitapeli au kwa ubabaishaji ktk michango ndio shida
 
Umesema kweli. Wengine wanaishia kuuza utu wao ili wachangie ama waishi baada kuwa wamepeleka hizo fedha kwa kijumbe 😀
 
Hauko salama.
 
Na hatutaki ushauri🤣🤣🤣
Benki ili watukate kodi, wale kwa urefu wa kamba!! Akuuuuuuuu!
Ulizia account zisizo na Makato mfano mm nilikua na malengo yangu nikafungua nmb wallet hakika ilinisaidia
 

Attachments

  • IMG_20241004_202653_123.jpg
    383.3 KB · Views: 6
Halafu tunaoumia ni sisi wanaume, kutwa kuombwa pesa za mchezo , huwa nasikia hasira sana kuombwa pesa za michezo.., maana wakati wa kuvunja hivyo vikoba wala hushirikishwi, ila kwenye kuweka sasa..
Bank na wenyewe makato yao mie nacheza mwenyewe😂😂 kila siku nahakukisha niketupia katika simu yangu
 
Halafu tunaoumia ni sisi wanaume, kutwa kuombwa pesa za mchezo , huwa nasikia hasira sana kuombwa pesa za michezo.., maana wakati wa kuvunja hivyo vikoba wala hushirikishwi, ila kwenye kuweka sasa..
,😂😂😂😂 Uwe unauliza uliza siku ya kuvunja kikoba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…