ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
Chukua mkuu! Itusaidie soteNaichukua hii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chukua mkuu! Itusaidie soteNaichukua hii
Katika mahusiano fanya ufanyavyo wewe usiwe mtu anayeyalinda hayo mahusiano.Hiyo kazi mpe mwenzako.Maana hicho kibarua ni kigumu na kwa mwanaume sio dalili njema.Tafsiri ya mke halali ni yule uliye na mkataba nae kisheria ya ndoa, nje ya Hapo ni uzinzi
Duuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuh!!!!!!akalawitiwa na njemba nne
Shenyenta baba,,,,shenyentaaa hata akienda huko nje aone hakuna jipya arudi ndani na kutulia.Jike haling'ang'aniwi bali lenyewe linakun'gang'ania maana kila likiangalia kushoto kulia halioni wa kukufananisha nawe na hiyo ndo heshima yako.Hakunaga siri idumuyo kama unataka maisha ya uzinzi please usile kiapo cha ndoa kiapo ni laana unapoapa iwe kanisani au kazini haupo peke yako viumbe vya roho ushuhudia thus watumishi ufukuzwa kazi kwa rushwa, kwa sababu si uliapa.?
Kiapo ni karma taleta somo lake ili.
Kwa hiyo huyo hawara yake alihusika katika kumtegabaada ya kupigiwa simu ya mtego na hawara yake
Aziz K kaangalia fursa,kaoa brand,pili mwanamke mfanyabiashara mwenye pesa zake so sio mzigo kama Wana meneja mzuri watafika mbali.Katika mahusiano fanya ufanyavyo wewe usiwe mtu anayeyalinda hayo mahusiano.Hiyo kazi mpe mwenzako.Maana hicho kibarua ni kigumu na kwa mwanaume sio dalili njema.
Hii technique itakufanya kuwa huru pia kuwa na uwezo wa kuyasitisha mahusiano anytime anywhere😄😄😄
Mwanaume lazima uwe na uwezo wa kumiliki jike lolote mda wowote.Ukianza kulilia mapenzi jua uanaume wako uko mashakani.Na adui yako akishajua hujiamini na huwezi kumuacha kama alivyofanyiwa Aziz Ki na yule mwanamke basi jua you are WALKING DEAD!!!
Tena shababDuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuh!!!!!!
human beings are created as Polygamous and PolyandrousMtu azinie na mwanamke Hana akili kabisa.
Furaha yako ipo ndani mwako na sio nje yako
wivu wa kimapenzi uliopitiza, pole kwa yaliyokukutaMtu azinie na mwanamke Hana akili kabisa.
Furaha yako ipo ndani mwako na sio nje yako
Malaya hatosheki hata achapwe nao usiku kucha, umalaya ni roho ni hulka ni ishu ya uwezo mdogo wa akili kwa asiyejitambua.Shenyenta baba,,,,shenyentaaa hata akienda huko nje aone hakuna jipya arudi ndani na kutulia.Jike haling'ang'aniwi bali lenyewe linakun'ang'ania maana kila likiangalia kushoto kulia halioni wa kukufananisha nawe na hiyo ndo heshima yako.
Na siku ukifa ajitupetupe kwenye kaburi🤗😀 lako maana utamu na furaha yake itakuwa imetamatishwa.
Mark your teritory young man stop crying the world is not a better place for the weak!!!
Mpaka hapo wewe utaendelea kulilia mapenzi😄😄😄Aziz K kaangalia fursa,kaoa brand,pili mwanamke mfanyabiashara mwenye pesa zake so sio mzigo kama Wana meneja mzuri watafika mbali.
Kila mtu uoa kwa interest zake wengine utaka mama wa nyumba yaani mlinzi wa nyumba, wengine wanataka business partner, wengine kiwanda cha kuwazalia watoto so kila mmoja uoa kwa interest zake
Mimi nipo vizuri kwenye ishu hizi za emotional intelligence siwezi toka kwenye reli kisa kiumbe tumekutana ukubwani,akitekwa na duniani akwende akasake msedede aupendao.wivu wa kimapenzi uliopitiza, pole kwa yaliyokukuta
Mbususu kula lkn sio wake za watu utaishia kufrw au kufa. Wenzio wengi wapo kaburini au vilema vya anus wamepata📌Piga tizi,kula vizuri,lala masaa ya kutosha,punguza stress maisha ndo hayahaya.Tafuna mbususu acha kutisha watu nyie vipi.
Labda wanaproject ya kuingiza zaidi.Mpaka hapo wewe utaendelea kulilia mapenzi😄😄😄
Azizi ki ni mchovu na hana muda mrefu na mobeto atapigwa chali.Azizi ki kama haichapi kisawasawa aandike maumivu ya ng'ombe na 30M.
Hivi kwa hali ya kawaida unatoaje mahari ya 30M.Unajua hata finacial literacy ni kipengele kw huo Ki.Unless imetajwa kukuza tukio ila kama ametoa hiyo hela Ki ni mchovu sana na wanawake wataendelea kumsumbua mpaka pale atakapowajulia🤝
exactly, "the world is living, suffering is your choice"Shenyenta baba,,,,shenyentaaa hata akienda huko nje aone hakuna jipya arudi ndani na kutulia.Jike haling'ang'aniwi bali lenyewe linakun'ang'ania maana kila likiangalia kushoto kulia halioni wa kukufananisha nawe na hiyo ndo heshima yako.
Na siku ukifa ajitupetupe kwenye kaburi🤗😀 lako maana utamu na furaha yake itakuwa imetamatishwa.
Mark your teritory young man stop crying the world is not a better place for the weak!!!
Hivi huyo hata angeachwa hai angekuwaje sijui.Tena shabab
Angepiga kimya kimya na angewachukia wanawake woteHivi huyo hata angeachwa hai angekuwaje sijui.
your cries are contrary to your perceived emotional strengthMimi nipo vizuri kwenye ishu hizi za emotional intelligence siwezi toka kwenye reli kisa kiumbe tumekutana ukubwani,akitekwa na duniani akwende akasake msedede aupendao.
Furaha yangu ipo ndani mwangu.
Maandiko yanasema usimpe mwanamke ukuu wako au moyo wako.
Chapa wewe kwani sisi tunaochapa tunachapa majini.Malaya hatosheki hata achapwe nao usiku kucha, umalaya ni roho ni hulka ni ishu ya uwezo mdogo wa akili kwa asiyejitambua.
Mwanamke anaejitambua aendeshwi na kitumbua chke
Sawa endelea kuwakumbusha wakubwa wenzio watching na wake za watu wasije wakachanwaAngepiga kimya kimya na angewachukia wanawake wote