zagarinojo
JF-Expert Member
- Jul 26, 2020
- 2,622
- 2,846
Maisha yamebadilika kwa kasi sana kuna mambo ambayo yalikuwepo zamani Ila kwa sasa hayapo
Moja ya mambo ninayoyakumbuka zamani ni kwamba zamani tulikuwa tukinunua laini tuna anza kutumia papo hapo bila kusajili. Ila now days mpaka usajili.
Enzi hizo mtu kuwa professor mpaka awe lizee fulani hivi Ila nowdays maprofessor hata vijana wadogo tu.
Enzi hizo ukifaulu form 4 unaonekana msomi wa maana familia inakufanyia gradu ya maana. Ila nowdays ukifaulu watu washazoea wanaona mambo ya kawaida tu.
Enzi hizo mtu akifanya kazi benki watu wanadhani Ana hela kinyama Ila sikuizi washaelewa sio Hivyo.
Moja ya mambo ninayoyakumbuka zamani ni kwamba zamani tulikuwa tukinunua laini tuna anza kutumia papo hapo bila kusajili. Ila now days mpaka usajili.
Enzi hizo mtu kuwa professor mpaka awe lizee fulani hivi Ila nowdays maprofessor hata vijana wadogo tu.
Enzi hizo ukifaulu form 4 unaonekana msomi wa maana familia inakufanyia gradu ya maana. Ila nowdays ukifaulu watu washazoea wanaona mambo ya kawaida tu.
Enzi hizo mtu akifanya kazi benki watu wanadhani Ana hela kinyama Ila sikuizi washaelewa sio Hivyo.