Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Iv hakuachaga watoto pepekaleMwaka 1991 Pepe Kalle na bendi yake ya Empire Bakuba walikuja Tanzania kutumbuiza mkoani Arusha.
Baada ya kufika Arusha, walikodi teksi iliyokuwa ikiendeshwa na mwanamke aitwaye Hidaya Khamis Massawe. Wakiwa ndani ya teksi walianza kuongea kwa lugha ya Lingala wakimsifu dereva teksi kwa jinsi alivyokuwa mzuri. Hata hivyo, Hidaya (dereva teksi)
alikuwa anafahamu lingala kutokana na shughuli zake za kibiashara huko RD Congo. Pepe Kalle alishtuka sana baada ya kumsikia Hidaya akizungumza kwa lugha ya Lingala. Baada ya kumaliza shoo yao jijini Arusha, Pepe Kalle aliahidi kuwa atarejea Tanzania kwa Hidaya.
Mwaka uliofuata wa 1992, Pepe Kalle kweli alirudi Tanzania Arusha na kutunga wimbo wa Hidaya.
Mume wa Hidaya Mzee Massawe, baada ya kujua kuwa wimbo wa Hidaya alitungiwa mkewe aliamua kuachana naye na kumuacha siku hiyo hiyo.
Hidaya khamis masawe alifariki mwaka 2021 Arusha mtaa wa Kaloleni.
View attachment 2922833
Wise choice, dont ever fight kwa ajili ya mwanamke. Only your motherMzee Massawe akili kubwa sana .
Mimi daima nikijikuta kwenye battle na mtu aliyenizidi uwa siwazi mara mbili kujiweka pembeni nisiharibu furaha yangu .
Kuna mwana hapa anatafuna wife wa mchizi kinoma noma na ukiangalia ni kama mwana hapa ndo ana masaa mengi na manzi about 10 hours daily ukiondoa jumamosi na Jumapili!uko makazini wanawake zetu Wana mabwana zao.
Chief kwaiyo mkeo huko officeni uliko mluhusu afanye kazi unamaana hatongozwi au agongwiUyo mume nae fala,
Unaruhusu vp mkeo afanye udreva taxi?
Pepe alikuwa anakula mzigo ama ini wazee?Mwaka 1991 Pepe Kalle na bendi yake ya Empire Bakuba walikuja Tanzania kutumbuiza mkoani Arusha.
Baada ya kufika Arusha, walikodi teksi iliyokuwa ikiendeshwa na mwanamke aitwaye Hidaya Khamis Massawe. Wakiwa ndani ya teksi walianza kuongea kwa lugha ya Lingala wakimsifu dereva teksi kwa jinsi alivyokuwa mzuri. Hata hivyo, Hidaya (dereva teksi)
alikuwa anafahamu lingala kutokana na shughuli zake za kibiashara huko RD Congo. Pepe Kalle alishtuka sana baada ya kumsikia Hidaya akizungumza kwa lugha ya Lingala. Baada ya kumaliza shoo yao jijini Arusha, Pepe Kalle aliahidi kuwa atarejea Tanzania kwa Hidaya.
Mwaka uliofuata wa 1992, Pepe Kalle kweli alirudi Tanzania Arusha na kutunga wimbo wa Hidaya.
Mume wa Hidaya Mzee Massawe, baada ya kujua kuwa wimbo wa Hidaya alitungiwa mkewe aliamua kuachana naye na kumuacha siku hiyo hiyo.
Hidaya khamis masawe alifariki mwaka 2021 Arusha mtaa wa Kaloleni.
View attachment 2922833