Enzi hizo Pepe Kalle na Hidaya Khamis Masawe

"Nimepoteza mpenzi wangu nchini Tanzania[emoji443]"
 
Ila alikuwa kifaa, angekuwa bado yuko hai ningemtafuta
 
Iv hakuachaga watoto pepekale
 
Uyo mume nae fala,
Unaruhusu vp mkeo afanye udreva taxi?
 
Reactions: EEX
uko makazini wanawake zetu Wana mabwana zao.
Kuna mwana hapa anatafuna wife wa mchizi kinoma noma na ukiangalia ni kama mwana hapa ndo ana masaa mengi na manzi about 10 hours daily ukiondoa jumamosi na Jumapili!
 
Pepe alikuwa anakula mzigo ama ini wazee?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…