OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 4,701
- 11,920
Nakumbuka tulikuwa tunaruka fensi ya hospitali kwenda kuokota mipira iliyotumika (catheter) maarufu kama tekenya, mipira hiyo ilitumika kutengenezea manati ambayo inavutika sana na kulenga umbali mrefu. Mipira hiyo ni taka hatarishi lakini hatukuwahi kuugua,
Manati yenye mipira ya dunlop nani anaikumbuka?
Manati ikiuua ndege damu ya ndege unaipaka kwenye kipago nani anakumbuka?
Kutega ndege kwa kutumia ulimbo ( wirembo) nani anakumbuka?
Kutengeneza mawe ya kwenye manati kwa kutumia udongo wa mfinyazi (mbiringe) nani anazikumbuka?
Nani anaijua hii kitu hapo chini
Hebu toa experience yako hapa enzi hizo utotoni
Manati yenye mipira ya dunlop nani anaikumbuka?
Manati ikiuua ndege damu ya ndege unaipaka kwenye kipago nani anakumbuka?
Kutega ndege kwa kutumia ulimbo ( wirembo) nani anakumbuka?
Kutengeneza mawe ya kwenye manati kwa kutumia udongo wa mfinyazi (mbiringe) nani anazikumbuka?
Nani anaijua hii kitu hapo chini
Hebu toa experience yako hapa enzi hizo utotoni