OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 4,701
- 11,920
Inaelekea wewe unaogopa kugegedana tu, yaani raha yote ya kugegedana wewe huitaki eti unataka kurudi kuwa mtoto? Baba yako anajuwa haya. angalia asije kukupa laana, maana yeye nataka wajukuu sasa acheze nao.Natamani kurudi utotoni π
Tango masta juz tu apo..!!Mpira wa miguu maarufu kama tango master enzi hizo ukiwa unauzwa Tsh elfu kumi na tano pia kulikuwa na tubeless nani anaikumbuka?
N kombolela mbona walikuwa wanagegedana frsh tuu mzeeh baba. Tna kama ukisikia michezo ya kibaba na kimama af usikie watoto wanalilia kuwa baba au mama hapo jua tayari kuna jambo kati yao.ππInaelekea wewe unaogopa kugegedana tu, yaani raha yote ya kugegedana wewe huitaki eti unataka kurudi kuwa mtoto? Baba yako anajuwa haya. angalia asije kukupa laana, maana yeye nataka wajukuu sasa acheze nao.
HeheheeeeWe mwamba sio mtabora kweli wewe?
Sitaki kurudi huko, nawaachia nyie mie niendelee kuwachapa mademu mtakao niachia.Kwa
N kombolela mbona walikuwa wanagegedana frsh tuu mzeeh baba. Tna kama ukisikia michezo ya kibaba na kimama af usikie watoto wanalilia kuwa baba au mama hapo jua tayari kuna jambo kati yao.ππ
Hutoto raha saan asikudanganye mtu
Ukizeeka utarudi tu utotoni,maana utakua unafanya yale yote uliyokua unayafanya utotoni,kama vile kusahau kufungua zipi wakati wa haja ndogo,kushindwa kutembea,kusahau njia yakurudi Nyumbani......Natamani kurudi utotoni π
Hayo mawe ya kupiga manati sisi tuliyaita "mbulugwa" na kile kingozi kinachocover jiwe au mbulugwa sisi tulikiita "kikova"Nakumbuka tulikuwa tunaruka fensi ya hospitali kwenda kuokota mipira iliyotumika (catheter) maarufu kama tekenya, mipira hiyo ilitumika kutengenezea manati ambayo inavutika sana na kulenga umbali mrefu. Mipira hiyo ni taka hatarishi lakini hatukuwahi kuugua,
Manati yenye mipira ya dunlop nani anaikumbuka?
Manati ikiuua ndege damu ya ndege unaipaka kwenye kipago nani anakumbuka?
Kutega ndege kwa kutumia ulimbo ( wirembo) nani anakumbuka?
Kutengeneza mawe ya kwenye manati kwa kutumia udongo wa mfinyazi (mbiringe) nani anazikumbuka?
Nani anaijua hii kitu hapo chini
Hebu toa experience yako hapa enzi hizo utotoni
View attachment 1644417
Tubeless si ni lile lenye maupele pele sieti?Mpira wa miguu maarufu kama tango master enzi hizo ukiwa unauzwa Tsh elfu kumi na tano pia kulikuwa na tubeless nani anaikumbuka?