Enzi ninajiunga na JF

Enzi ninajiunga na JF

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
Nilikuwa single, kuna kaka mmoja alinifuata inbox, tulianza kuchat. Kaka yuko romantic kama vyote. Moyo ukayeyuka. Nikamtumia picha yangu kwa mahaba yote.

1548003552934.jpeg


Nilikuja kuona amecomment kwa rafiki yake kuwa ametumiwa picha ya sanamu la Michelin.

Hivi ndiyo vituko vya JF.
 
Nilikuwa single, kuna kaka mmoja alinifuata inbox, tulianza kuchat. Kaka yuko romantic kama vyote. Moyo ukayeyuka. Nikamtumia picha yangu kwa mahaba yote.

View attachment 1000467

Nilikuja kuona amecomment kwa rafiki yake kuwa ametumiwa picha ya sana my la Michelin.

Hivi ndiyo vituko vya JF.
hii ni kawaida ya wanaume kama yalivo mabeberu zizin[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] xion cha ajab hapa[emoji91][emoji91][emoji91]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilikuwa single, kuna kaka mmoja alinifuata inbox, tulianza kuchat. Kaka yuko romantic kama vyote. Moyo ukayeyuka. Nikamtumia picha yangu kwa mahaba yote.

View attachment 1000467

Nilikuja kuona amecomment kwa rafiki yake kuwa ametumiwa picha ya sana my la Michelin.

Hivi ndiyo vituko vya JF.
Mwisho ulimpa reaction gani huyo kaka?

-pole... kijijini kwetu tulifunzwa sio vizuri kumsema mtu kwa dhiki yake au kwa alivyo.

-Unahitaji EI kudeal na watu...sioni pointi kabisa ya kumtumia au hata kumwelezea Sky Eclat Khantwe alivyo kama tunafahamiana.
 
Mwisho ulimpa reaction gani huyo kaka?

-pole... kijijini kwetu tulifunzwa sio vizuri kumsema mtu kwa dhiki yake au kwa alivyo.

-Unahitaji EI kudeal na watu...sioni pointi kabisa ya kumtumia au hata kumwelezea Sky Eclat Khantwe alivyo kama tunafahamiana.
Utamasirikia mtu ambae hata hamuonani! Unaichukulia ni changamoto unaingia gym kupunguza mafuta maisha yanaendlelea.
 
Back
Top Bottom