[emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]Mnatafuta kingozi cha kulalia ama?
[emoji3][emoji3][emoji3] unajitutumua eehUsimtishe auntie yangu. Huna lolote.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tungeshazipata taarifa...siunaona
Kwani anacho eeenh@daby please do the needfull.
Semeni msaidike?[emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]
Kwani uzi ni wangu eenh
Tehtehteh...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nimecheka kwa sauti
Wengine wastaarabu wanakufa na tai shingoni
Acha kutupotezaMnatafuta kingozi cha kulalia ama?
Hivi pogba hana kingozi?Acha kutupoteza
🤣🤣🤣Yaani acha tu, ni changamoto.
Kuna yule alisema alikutana na mdada wa jf ana matiti kama matikiti ya morogoro. Haki mbinguni watapasikia tu wanaume wa humu.
Bora anayekufa na tai shingoni tu anapambana kimyakimya na sanamu la michellin wakeTehtehteh...
Kwa hiyo bora yupi? Anaesema au anyekufa nayo?
Sina ushuhuda mm
Jamani pogba yupo uk ukooo najuaje mmHivi pogba hana kingozi?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yaani ukiwakuta mahali Shunie Sakayo espy wakakutana uzi unaenda speed ya jet yaani wanavamia kama viwavi jeshi. Hapo hajaja wa kuitwa Raynavero [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hao watu ukitoa Uzi alafu wakauvamia ni dakika mbili tu ushafikisha coment 300 ni watu poa sana lakini Mimi nawakubali sanaYaani ukiwakuta mahali Shunie Sakayo espy wakakutana uzi unaenda speed ya jet yaani wanavamia kama viwavi jeshi. Hapo hajaja wa kuitwa Raynavero [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app